Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kwa Wasomaji

Kwa Wasomaji

Wasomaji Wapendwa

Mu hii Munara wa Mulinzi, tutazungumuzia habari tano zenye kujibia hii maulizo:

  • Kwanza, Yehova aliweka mupango gani juu ya kusaidia wanadamu wapiganishe zambi?

  • Pili, Yehova ametufundisha namna gani maana ya toba ya kweli na amesaidia namna gani watenda-zambi kutubu?

  • Tatu, kutaniko ya Korinto ilipewa maagizo gani juu ya namna ya kutendea mutu mwenye alifanya zambi nzito lakini hakutubu?

  • Ine, namna gani wazee Wakristo leo wanapaswa kushugulikia watu wenye wanafanya zambi nzito?

  • Tano, kisha mutenda-zambi mwenye hatubu kuondolewa mu kutaniko, namna gani kutaniko inaweza kuendelea kumutendea kwa upendo na rehema?