MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 9, 2024

Hii gazeti iko na habari za kujifunza tarehe 11/11–​8/12, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 36

“Mukuwe Watendaji wa Neno”

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 11-17/11, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 37

Barua Yenye Inaweza Kutusaidia Kuvumilia kwa Uaminifu Mupaka Mwisho

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 18-24/11, 2024.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Maisha Yenye Kufurahisha mu Kazi ya Yehova

André Ramseyer ametumika kwa miaka 70 mu utumishi wa wakati wote na alipata migao mingi ya kiteokrasi. Alipata matatizo gani na namna gani aliweza kutia Yehova fasi ya kwanza mu maisha yake?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Wakati Yesu alianzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana, wale wanafunzi 70 wenye alitumaka kuhubiri walikuwa wapi? Walikuwa wamemuacha?

HABARI YA KUJIFUNZA YA 38

Ukuwe Muangalifu, Usikilize Onyo?

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 25/11–1/12, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 39

Kutoa Kutakuletea Furaha

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 2-8/12, 2024.

Ujikaze Kupata Mambo ya Mupya Wakati Uko Najifunza

Namna gani funzo yetu ya kipekee inaweza kutusaidia kutambua muzuri zaidi mambo yenye Yehova anapenda kutufundisha?