Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2022

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2022

Inaonyesha gazeti kwenye kila habari inapatikana

MUNARA WA MULINZI GAZETI YA FUNZO

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Uko Najitayarisha ili ‘Kuriti Dunia’? 12

  • Chakula ya Imbwa Zangu (mahubiri ku prezantware), 4

  • Unaweza Kufanya Nini Kama Uko na Mahangaiko? 4

  • Acha “Sheria ya Fazili” Ikuongoze, 6

  • Waisraeli wa Zamani Walipigana Vita​—Juu ya Nini Siye Hapana? 10

ULIJUA?

  • Namna gani watu wa zamani walikuwa najua mwanzo wa mwaka na wa mwezi? 6

  • Mordekai aliishi kabisa? 11

  • Yehova alikubali Waisraeli watoe njiwa-tetere na njiwa kama zabihu. Ile ilikuwa na faida gani? 2

  • Juu ya nini Waisraeli wa zamani walikuwa wanalipa mali? 2

  • Je, Waroma waliruhusu mutu mwenye alitundikwa ku muti, sawa vile Yesu, azikwe mu kaburi? 6

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1922​—Kumepita Miaka Mia Moya Sasa, 10

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

  • Nilimuacha Yehova Aongoze Njia Yangu (K. Eaton), 7

  • Nilipata Jambo ya Muzuri Zaidi Kuliko Kazi ya Kutunza Watu (R. Ruhlmann), 2

  • Nimefurahia Kujifunza na Kufundisha Wengine Juu ya Yehova (L. Weaver, Jr.), 9

  • “Nilipenda Kumutumikia Yehova” (D. van Marl), 11

MAULIZO YA WASOMAJI WETU

  • Juu ya nini 2 Samueli 21:7-9 inasema kama Daudi “alimusikilia huruma Mefibosheti” lakini kisha akamutoa ili atundikwe? 3

  • Kama Mukristo anavunja ndoa na bibi yake bila sababu ya Kimaandiko na kisha anaoa mwanamuke mwingine, 4

  • Wakati Daudi aliandika kama atasifu jina ya Mungu “milele,” mu Zaburi 61:8, alimaanisha kama hangekufa? 12

  • Yesu alimaanisha nini wakati alisema: “Musiwaze nilikuja kuleta amani”? (Mt 10:34, 35), 7

  • Paulo alipenda kusema nini wakati alijiita kuwa “mutoto mwenye alizaliwa mbele ya wakati wake”? (1Ko 15:8), 9

  • Biblia inasema nini juu ya kufanya kiapo? 4

  • Ni wanani njo watafufuliwa ku dunia, na watapata ufufuo gani? 9

HABARI ZA KUJIFUNZA

  • Unabii wa Zamani Wenye Unakuhusu, 7

  • Uko “Mufano . . . Katika Kusema”? 4

  • ‘Kuleta Watu Wengi Kwenye Haki,’ 9

  • Endelea Kuvaa “Utu Mupya” Kisha Ubatizo, 3

  • Shauri Yako ‘Inafurahishaka Moyo’? 2

  • Unaona Mambo Yenye Zekaria Aliona? 3

  • Unatumainia Njia ya Yehova ya Kufanya Mambo? 2

  • Wazee​—Muendelee Kuiga Mutume Paulo, 3

  • Ukuwe na Furaha Wakati Unafanya Yako Yote kwa Ajili ya Yehova, 4

  • Inawezekana Kuwa na Amani Hata Wakati ya Magumu, 12

  • ‘Endelea Kutembea Katika Kweli,’ 8

  • “Wenye Furaha Ni Wale Wenye Wanashika Uaminifu-Mushikamanifu” Kwa Yehova, 10

  • Saidia Wengine Wavumilie Magumu, 12

  • “Umutumainie Yehova,” 6

  • Namna Yehova Anatusaidia Kutimiza Kazi Yetu ya Kuhubiri, 11

  • Namna Yehova Anatusaidia Kuvumilia Magumu Yetu kwa Furaha, 11

  • Kujua Kama Yehova Anatupenda Kunatusaidia Tupiganishe Woga, 6

  • Namna ya Kujiwekea na Kufikia Miradi ya Kiroho, 4

  • Uige Yesu kwa Kuwa Tayari Kutumikia Wengine, 2

  • Jina Yako Iko mu “Kitabu cha Uzima”? 9

  • Yehova Anabariki Wale Wenye Wanasamehe, 6

  • Watu wa Yehova Wanapenda Haki, 8

  • Yehova Ni Mungu Mwenye Anasameheaka Sana, 6

  • Yehova Iko Naona Magumu Yetu na Iko Tayari Kutusaidia, 8

  • Tuendelee “Kujengana,” 8

  • Utie Nguvu Tumaini Yako ya Kikristo, 10

  • Chunga Akili Yako Wakati Ushikamanifu Wako Unajaribiwa, 11

  • Ujifunze Kupitia Ndugu Moja Mudogo wa Yesu, 1

  • Machozi ya Yesu Inaweza Kutufundisha Nini? 1

  • Usiache Jambo Yoyote Ikutenganishe na Yehova, 11

  • “Usikilize Maneno ya Wenye Hekima,” 2

  • ‘Tumia Muzuri Zaidi Wakati Wako’ 1

  • Mambo Yenye Mufano wa Eunike Unaweza Kufundisha Mama, 4

  • Wazazi, Musaidie Watoto Wenu Wamupende Yehova, 5

  • Ukuwe Mwenye Kutumainika, 9

  • Kitabu ya Ufunuo​—Iko na Maana Gani kwa Maadui wa Mungu? 5

  • Kitabu ya Ufunuo​—Iko na Maana Gani Juu ya Wakati Wako Wenye Kuya? 5

  • Kitabu ya Ufunuo​—Iko na Maana Gani Kwako Leo? 5

  • Tutegemeze Yesu, Kiongozi Wetu, 7

  • Ufalme wa Mungu Uko Natawala! 7

  • “Wale Wenye Kumutafuta Yehova Hawatakosa Kitu Kizuri,” 1

  • Uone Sala Kuwa Pendeleo ya Maana Sana, 7

  • Hekima ya Kweli Inaita Kwa Sauti Kubwa, 10

  • Ibada ya Kweli Itaongeza Furaha Yako, 3

  • Inawezekana Kuishi Milele, 12

  • Juu ya Nini Tunahuzuriaka Ukumbusho? 1

  • Mashauri ya Hekima Yenye Inaweza Kutusaidia mu Maisha, 5

  • Unaweza Kuwa na Furaha ya Kweli, 10

  • Unaweza ‘Kuvua Utu wa Zamani’, 3

  • Tutumainie Ndugu na Dada Zetu, 9

  • Vijana, Muendelee Kufanya Maendeleo Kisha Kubatizwa, 8

  • “Utakuwa Pamoja na Mimi Katika Paradiso” 12

MUNARA WA MULINZI GAZETI YA WATU WOTE

  • Mambo ya Kufanya Juu ya Kuachana na Chuki, Na. 1

AMUKA!

  • Magumu Inayala mu Dunia​—Nini njo Itakusaidia Uivumilie? Na. 1