Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Wafalme Wanane Wanafunuliwa

Wafalme Wanane Wanafunuliwa

Wafalme Wanane Wanafunuliwa

Vitabu vya Biblia vya Danieli na Yohana vinazungumuzia wafalme wanane ao utawala wa wanadamu na namna wafalme hao wangefuatana. Ili kulewa unabii huo, tunapaswa kujua maana ya unabii wa kwanza wa Biblia.

Kwa miaka mingi, Shetani amefanya uzao wake utokeze serikali za kila namna ao falme nyingi. (Lu. 4:5, 6) Lakini, serikali fulani kati ya hizo zimewatesa watu wa Mungu, ni kusema, taifa la Israeli ao Wakristo watiwa-mafuta. Ndiyo maana, maono ya Danieli na Yohana yanataja tu serikali kubwa munane za ulimwengu, hata kama dunia imetawaliwa na serikali nyingi.

[Muchoro/​Picha kwenye ukurasa wa 12, 13]

(Ili kuona maelezo hayo, ona kitabu)

UNABII KATIKA UNABII KATIKA

KITABU CHA DANIELI KITABU CHA UFUNUO

1. Misri

2. Asiria

3. Babiloni

4. Utawala wa Wamede na Waperse

5. Ugiriki

6. Roma

7. Uingereza na Amerika *

8. Ushirika wa Mataifa

na Umoja wa Mataifa *

WATU WA MUNGU

Mwaka wa 2000,

Mbele ya kuzaliwa kwa Yesu

Abrahamu

Mwaka wa 1500

Taifa la Israeli

Mwaka wa 1000

Danieli Mwaka wa 500

Mbele ya kuzaliwa kwa Yesu/

Kisha kuzaliwa kwa Yesu

Yohana

Israeli wa Mungu Mwaka wa 500

Mwaka wa 1000

Mwaka wa 1500

Mwaka wa 2000,

Kisha kuzaliwa kwa Yesu

[Maelezo ya chini]

^ Wafalme hao wawili wangetokea katika wakati wa mwisho. Ona ukurasa wa 19.

^ Wafalme hao wawili wangetokea katika wakati wa mwisho. Ona ukurasa wa 19.

[Picha]

Sanamu kubwa (Dan. 2:31-45)

Wanyama wane wanaotoka katika bahari (Dan. 7:3-8, 17, 25)

Kondoo-dume na mbuzi-dume (Dan., sura 8)

Munyama-mwitu mwenye vichwa saba (Ufu. 13:1-10, 16-18)

Munyama mwenye pembe mbili anawaambia watu wafanye sanamu ya munyama-mwitu mwenye vichwa saba (Ufu. 13:11-15)

[Picha zimetolewa na]

Photo credits: Misri na Roma: British Museum ilituruhusu kutumia picha hii; Utawala wa Wamede na Waperse: Musée du Louvre, Paris