Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2012

Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2012

Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2012

Inaonyesha tarehe ya gazeti ambamo habari inapatikana

BIBLIA

Angalisho!Biblia Si Hirizi, 15/12

Coverdale na Biblia ya Kwanza Nzima Kuwahi Kuchapishwa, 01/06

Inabadilisha Maisha, 01/01, 01/02, 01/04, 01/05, 01/07, 01/08, 01/10, 01/11

Inatabiri Kuhusu Wakati Ujao? 01/01

Kiswahili, 01/09

Kwa Ajili ya Vijana, O1/01, O1/04, 01/07, 01/10

Kwa Nini Ni Kitabu cha Kipekee? 01/06

HABARI ZA KUJIFUNZA

Acha Yehova Akuongoze Kwenye Uhuru wa Kweli, 15/07

Acheni Ndiyo Yenu Imaanishe Ndiyo, 15/10

Endelea Kuwa na Moyo Usiogawanyika Kumuelekea Yehova, 15/04

Fanya Angalisho na Mitego ya Shetani, 15/08

Furahia Amani Katika Utawala wa Miaka Elfu Moja na Milele, 15/09

‘Hamuijue Ile Siku wala Ile Saa,’ 15/09

Je, Unaheshimu Kabisa Zawadi ya Ndoa? 15/05

Je, Watu Wanaona Utukufu wa Yehova Wanapokutazama? 15/05

Je, Wewe Ni Musimamizi-nyumba Mwenye Kutumainika? 15/12

Kufanikiwa Katika Maisha Kunamaanisha Nini? 15/12

Kupambana na Matatizo ya Leo kwa Ujasiri, 15/10

Kuwa na Furaha Katika Familia Inayogawanyika Kidini, 15/02

Kuwasaliti Wengine—Alama ya Siku za Mwisho! 15/04

Mambo Tunayojifunza Kutokana na ‘Picha ya Ile Kweli,’ 15/01

Matatizo Si Mwisho wa Ndoa, 15/05

“Mimi Niko Pamoja Nawe,” 15/08

Mufano wa Mitume wa Yesu wa Kuendelea Kukesha Unatufundisha Nini? 15/01

Mutumaini Yehova—Mungu wa “Nyakati na Majira,” 15/05

‘Mwana Anapenda Kumufunua Baba,’ 15/04

Namna Gani Unaweza Kufaidika na Musamaha wa Yehova? 15/11

Namna Ulimwengu Huu Utakavyofikia Mwisho Wake, 15/09

‘Nitamuogopa Nani’? 15/07

Ni Roho ya Aina Gani Unayoonyesha? 15/10

Simama Imara na Epuka Mitego ya Shetani! 15/08

Tia Kazi ya Yehova pa Nafasi ya Kwanza, 15/06

Tuendelee Kuishi Kama “Wakaaji wa Muda,” 15/12

Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda Kwa Haraka, 15/03

Tuige Mufano wa Yesu wa Kuendelea Kukesha, 15/02

Tujiendeshe Kama Raia wa Ufalme wa Mungu, 15/08

Tumutolee Yehova Zabihu Zetu kwa Nafsi Yote, 15/01

Tunayoweza Kufanya Ili Kulinda Roho Nzuri ya Kutaniko Letu, 15/02

Tuwe Tayari Kusameheana, 15/11

Tushangilie Katika Tumaini Letu, 15/03

Tuwasaidie Watu ‘Waamuke Kutoka Katika Usingizi,’ 15/03

Ujiendeshe Kama Aliye Mudogo Zaidi, 15/11

Ukuhani wa Kifalme Utakaowaletea Wanadamu Wote Baraka, 15/01

Umutii Mungu Ili Ufaidike na Viapo Vyake, 15/10

Umutumikie Mungu Anayetoa Uhuru, 15/07

“Unifundishe Kufanya Mapenzi Yako,” 15/11

Usitazame “Mambo Yaliyo Nyuma,” 15/03

Uvumilivu wa Yehova na Yesu Unatufundisha Nini? 15/09

“Uwe Hodari na Mwenye Nguvu Sana,” 15/02

“Wakaaji wa Muda” Wanamuabudu Mungu wa Kweli Katika Umoja, 15/12

Wakristo wa Kweli Wanaliheshimu Neno la Mungu, 15/01

‘Waliongozwa na Roho Takatifu,’ 15/06

Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi,” 15/06

Yehova Anajua Namna ya Kuwakomboa Watu Wake, 15/04

Yehova Anakusanya Tena Familia Yake, 15/07

Yehova Anatulinda Ili Tupate Wokovu, 15/04

Yehova Anakusanya Watu Wake Wenye Furaha, 15/09

Yehova Ni ‘Mufunuaji wa Siri,’ 15/06

Yesu Alituachia Mufano wa Unyenyekevu, 15/11

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Je, Mukristo Aliye na Zoezi la Kutazama Ponografia Anaweza Kufikia Kutengwa na Ushirika? 15/03

Je, Ni Lazima Kuoa ao Kuolewa Ili Kupata Furaha? 01/10

Je, Wakristo wa Karne ya Kwanza Walijihusisha na Siasa? 01/05

Kiapo cha Uaminifu, 15/12

Kubaki Bila Kuoa ao Kuolewa, 15/11

Kufanya Wakati wa Funzo Uwe Wenye Kufurahisha Zaidi na Wenye Faida Zaidi, 15/01

Kwa Nini Wakristo Hubatizwa? 01/04

Madeni, 01/11

Mambo ya Kufikiria Unapoombwa Mashauri, 15/03

Mufanye Angalisho na “Chachu ya Mafarisayo,” 15/05

Ninajifunza Biblia, 01/02, 01/05, 01/08, 01/11

Sifa ya Wema, 01/09

‘Ufundi wa Kuongoza,’ 15/06

Utafanya Nini Kijana Wako Akitilia Shaka Imani Yako? 01/02

Uwafundishe Watoto Wako, 01/03, 01/06, 01/09, 01/12

MAMBO MENGINE

Abrahamu, 01/01

Ahasuero (bwana ya Esta), 01/01

Aliilinda Familia Yake, Akawaandalia, na Akavumilia (Yosefu), 01/04

Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi (Esta), 01/01

Anasi Katika Masimulizi ya Injili, 01/04

Barua Zilitumwa Namna Gani Wakati wa Zamani? 01/09

Dini na Siasa, 01/05

Har-Magedoni, 01/02

Jambo Nzuri Zaidi Kuliko Noeli, 01/12

Je, Dunia Itaharibiwa? 01/02

Je, Imani ya Kidini Inasaidia Watu Kusahau Magumu Yao? 01/11

Je, Kuna Mambo Yanayoonyesha Kama Wakristo Walikimbia Inchi ya Yudea Mbele ya Uharibifu wa Yerusalemu Mwaka wa 70? 01/10

Je, Unaamini Kwamba Uliishi Mahali Fulani Mbele ya Kuzaliwa? 01/12

Je, Unaweza Kuishi Milele? 01/10

Je, Watu Wote Wazuri Wanaenda Mbinguni? 01/08

Je, Yesu Alikosea Aliposema Kama Chumvi Inaweza Kupoteza Nguvu Zake? (Mt 5:13), 01/12

Jinsi Unavyowaona kwa Mara ya Kwanza, 01/03

Jinsi ya Kuanza Kuaminiana Tena (kisha bibi ao bwana kufanya uzinifu), 01/05

‘Kuna Sawabu kwa Ajili ya Kazi Yenu’ (Asa), 15/08

‘Mwanamuke Bora Sana’ (Ruthu), 01/10

“Haiwezekani!”—Neno Hilo Linamaanisha Nini? 01/06

“Kiti cha Hukumu” (Mdo. 18:12, 13), 01/05

“Uendako Nitaenda” (Ruthu), 01/07

“Wana wa Manabii,” 01/10

Kalamu na Wino Vilivyotumiwa Wakati wa Zamani, 01/11

Karatasi Ambazo Zilitumiwa Nyakati za Biblia, 01/07

Kazi ya Kununua na Kuuzisha Katika Israeli ya Zamani, 01/09

Kifo cha Washikamanifu Ni ‘Chenye Samani,’ 15/05

Kuchagua Wakati Ujao Wenye Mafanikio, 01/05

Kupiga Filimbi Kwenye Mazishi Katika Siku za Yesu? 01/02

Kupoteza Drakma, 01/12

Kutumia Lami Kama Saruji, 01/07

Kuwasiliana na Pepo, 01/03

Kwa Nini Mungu Aliwaagiza Waabudu Wake Wafunge Ndoa na Waabudu Wenzao Tu? 01/07

Majiwe ya Bei Sana Yaliyotiwa Kwenye Mufuko wa Kifuani wa Vazi la Kuhani Mukubwa, 8/1

Mapato Yanapopungua, 01/06

Matofali Katika Misri ya Kale, 01/01

Matumizi ya Vitu vya Kujipodoa Wakati wa Zamani, 01/12

Mazabahu ya “Mungu Asiyejulikana,” 01/03

Miujiza, 01/08

Muchungaji (wakati wa zamani), 01/11

Mukulima (wakati wa zamani), 01/05

Nasaba za Wayahudi, 01/06

Nathani Alitetea Ibada Safi, 15/02

Ni Nini Kitakachozipata Dini? 01/05

Ni Sifa Gani Zinazowatambulisha Wakristo wa Kweli? 01/03

Ni Wakati Gani Uingereza na Amerika Ilikuja Kuwa Serikali Kubwa ya Saba? 15/06

Paulo Alifanya Mahema ya Namna Gani? 01/11

Rangi, na Vitambaa Nyakati za Zamani, 01/03

Rushwa Itaisha Siku Fulani? 01/10

Sababu Gani Divai Ilitumiwa Kama Dawa Wakati wa Zamani? 01/08

Sababu Gani Watu Wengine Hawafanye Sikukuu ya Noeli? 01/12

Siku ya Hukumu, 01/09

Thesalonika, 01/06

Tumbako, 01/08

Utatu, 01/03

Viini Vilivyogandishwa, 15/12

Viumbe wa Roho, 01/07

Wafalme Wanane Wanafunuliwa, 15/06

Wakusanya-kodi (wakati wa Yesu), 01/03

Wanamuziki na Vyombo Vyao vya Muziki (katika nyakati za Biblia), 01/02

Wavuvi (wakati wa zamani), 01/08

Wivu, 15/02

MASHAHIDI WA YEHOVA

Barua Kutoka . . . , 01/03, 01/06, 01/09, 01/12

Gazeti la Funzo (Munara wa Mulinzi), 15/01

“Historia Haiseme Uongo” (Estonie), 01/12

Je, Wanawaacha Wanawake Wafundishe? 01/09

Kuhitimu Gileadi, 01/02, 01/08

Kulinda Vitu vya Maana Sana Vinavyoonyesha Historia Yetu, 15/01

“Kutoka Katika Kinywa cha Watoto” (Russie, Australie), 15/10

Kwa Nini Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba? 01/06

“Linda Moyo Wako!” Kusanyiko la Wilaya, 01/05

Mahakama ya Ulaya Inaunga Mukono Haki ya Mutu ya Kukataa Kujiunga na Jeshi Kwa Sababu ya Zamiri Yake (V. Bayatyan), 01/11

Mahali Ambapo Mipaka Haina Maana (Ureno, Uhispania, Ufaransa), 01/01

Masomo Mbalimbali Yanayoongozwa na Tengenezo la Yehova, 15/09

Michango Yao ya Zaidi Ilijaza Upungufu wa Wengine, 15/11

Mukutano wa Kila Mwaka, 15/08

Munara wa Mulinzi Katika Kiingereza Rahisi, 15/12

‘Namna Gani Nitaweza Kuhubiri?’ (kilema), 15/01

‘Nilijulikana Sana Kwa Sababu ya Chombo Hicho (Chombo Chenye Magurudumu Mawili), 15/02

“Ndoto Yangu Imetimia” (upainia), 15/07

“Tafazali, Unaweza Kutuchukua Picha” (Mexique), 15/03

‘Ujumbe Ambao Watu Walikuwa Hawajasikia’ (Radio ya Canada), 15/11

Waazteki wa Kisasa, 01/03

Wakolportere, 15/05

Walijitoa Kwa Kujipendea Katika Inchi ya Brésil, 15/10

Walijitoa Kwa Kujipendea Katika Inchi ya Équateur, 15/07

Walitangaza Neno la Mungu Kwa Uhodari! 02/15

Wapelerin, 15/08

Wema Unatuliza Uchungu, 15/06

MASIMULIZI YA MAISHA

‘Kuna Uzuri Upande wa Mukono Wako wa Kuume Milele’ (L. Didur), 15/03

Namna Neno la Mungu Lilivyosaidia Familia Moja Yenye Bidii Katika Dini ya Kihindu (N. Govindsamy), 01/10

Nilishika Upindo wa Nguo ya Muyahudi kwa Miaka Zaidi ya 70 (L. Smith), 15/04

Nilivutiwa Sana na Ndugu na Dada Wenye Kuzeeka (E. Gjerde), 15/05

Nimepata Uhuru wa Kweli! (M. Kilin), 01/12

Sasa Ninajua Mungu Ambaye Ninaabudu (M. Bacudio), 01/09

Urafiki Wao Umefanya Miaka 60 (L. Turner, W. Kasten, R. Kelsey, R. Templeton), 15/10

Utumishi Mutakatifu Ulitufundisha Ile “Siri” (O. Randriamora), 15/06

Yehova Alinifundisha Kufanya Mapenzi Yake (M. Lloyd), 15/07

Yehova Amenifungua Macho (P. Oyeka), 01/06

YEHOVA

Baba, 01/07

Je, Kweli Mungu Anawahangaikia Wanawake? 01/09

Je, Mungu Anawapa Watu Malipizi Kwa Kuwaunguza Katika Moto wa Mateso? 01/10

Je, Mungu Ataleta Serikali Moja Itakayotawala Dunia Yote? 01/11

Kwa Nini Mungu Alimuambia Abrahamu Amuzabihu Mwana Wake? 01/01

Kwa Nini Mungu Amewapanga Watu Wake Kwa Utaratibu? 01/02

Kwa Nini Tunapaswa Kutumia Jina la Mungu? 01/06

Msikiaji wa Sala, 01/07

Sababu Gani Mungu Alimutuma Yesu Duniani? 01/12

Umukaribie Mungu, 01/01, 01/02, 01/03, 01/04, 01/05, 01/06, 01/07, 01/08, 01/09, 01/10, 01/11, 01/12

Ungependa Kumuuliza Mungu Ulizo Gani? 01/11

YESU KRISTO

Alikuwa na Maoni Gani Kuhusu Siasa, 01/05

Injili za Apokrifa, 01/04

Je, Yesu Ni Mungu? 01/04

Kwa Nini Wayahudi Fulani Walikwazwa na Jinsi Yesu Alivyokufa? 01/05

Majibu ya Maswali Yetu Kumuhusu Yesu Kristo, 01/04

Ni Nani Aliyeituma Ile “Nyota”? 01/04

Ni Wakati Gani Alifanywa Kuwa Mufalme? 01/08

Tunapaswa Kukumbuka Kifo cha Yesu Jinsi Gani? 01/03

Watenda-zambi Waliouwawa Pamoja na Yesu, 01/02

Yesu Alimaanisha Nini Aliposema Tuende Kilomita Mbili? (Mt 5:41), 01/04