MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 4, 2013

Walijitoa kwa kujipendea—Katika Mexique

Soma ili ujue hesabu ya vijana ambao wameshindana na matatizo ili kuhubiri zaidi.

Namna ya Kufaidika Kabisa na Usomaji wa Biblia

Biblia itatuletea faida ikiwa tu tunaisoma na kutumikisha yale tunayosoma. Jifunze namna unavyoweza kusoma Biblia vizuri zaidi.

Tumia Neno la Mungu Ili Kujisaidia na Kuwasaidia Wengine

Je, unaona Biblia kuwa kitabu cha maana? Kujifunza kwa urefu zaidi andiko la 2 Timotheo 3:16 kutakusaidia uamini zawadi hiyo ambayo Yehova ametutolea.

‘Tuhakikishe Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi’

Tuna pendeleo la kuwa katika tengenezo la Mungu. Namna gani tunaweza kutegemeza kazi ambayo tengenezo hilo linafanya leo?

‘Tusichoke Kabisa’

Ni nini itatusaidia tuendelee kutembea bega kwa bega na tengenezo la Yehova na kulinda bidii yetu katika kazi ya Mungu?

Je, Ulijua?

Yesu alitabiri kwamba hekalu litaharibiwa kabisa. Je, hekalu la Yerusalemu lilijengwa tena kisha mwaka wa 70?