MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 5, 2013

Gazeti hili linaonyesha namna tunavyoweza kutimiza daraka letu la kueneza injili na linazungumuzia sifa zinazoweza kutusaidia kuzungumuza vizuri na kuwa na furaha katika familia.

Timiza Daraka Lako la Mweneza-injili

Sababu gani leo watu wanahitaji kusikia habari njema? Na namna gani tunaweza kutimiza vizuri daraka letu la kueneza injili?

Je, Una “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”?

Habari hii inaonyesha namna gani kazi yetu ya kuhubiri na mwenendo wetu muzuri unawachochea watu wamukaribie Mungu.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Katika mataifa mengi ya zamani, wahalifu fulani walitundikwa kwenye muti. Mambo yalitendeka namna gani katika taifa la Israeli?

Muzungumuze Vizuri ili Ndoa Yenu Iwe na Furaha

Kuzungumuza vizuri ni jambo la maana ili ndoa iwe na furaha. Habari hii inaonyesha sifa zinazoweza kutusaidia kuzungumuza vizuri.

Wazazi, Watoto—Muzungumuze kwa Upendo

Ni mambo gani yanayozuia mazungumuzo mazuri? Namna gani tunaweza kuyaepuka?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Maisha Yetu Yamekuwa na Kusudi Nzuri

Patricia ana watoto wawili walio na ugonjwa wa chembe za uriti. Soma ili ujue jambo ambalo limefanya maisha yao yawe na kusudi nzuri ijapokuwa matatizo hayo.

Linda Uriti Wako wa Kiroho kwa Kuchukua Maamuzi Mazuri

Wakristo wana uriti gani wa kiroho, na mufano wa Esau unatupa onyo gani?

VITU VYA MAANA SANA VYA HISTORIA YETU

Walibaki Imara Katika “Saa ya Jaribu”

Vita ya Kwanza ya Ulimwengu ilipolipuka katika mwaka wa 1914, watu wengi walianza kutambua waziwazi kwamba Wanafunzi wa Biblia hawajiingize katika vita wakati huo. Soma ili ujue mengi zaidi.