MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 9, 2013

Gazeti hili linazungumuzia namna ya kufanya maamuzi mazuri kunavvyotia nguvu uhusiano wetu na Yehova Mungu, na namna tunaweza kufaidika na vikumbusho vya Yehova.

Faidika na Usemi wa Biblia Wenye Kutofautisha Mawazo

Yesu alitumia mara nyingi usemi wenye kutofautisha mawazo. Jifunze namna unavyoweza kutumia usemi huo kuwasaidia wengine wajue kweli ya Biblia.

Vikumbusho vya Yehova Ni Vyenye Kutegemeka

Mara nyingi Yehova ametumia vikumbusho ili kuwaongoza watumishi wake. Sababu gani tunaweza kutegemea vikumbusho vya Mungu leo?

Furahia Vikumbusho vya Yehova

Je, tunafurahia kufuata amri za Yehova, ao wakati fulani tunaziona kuwa muzigo muzito? Ni mambo gani yanayoweza kutusaidia tutegemee vikumbusho vyake?

Je, Umebadilika Kabisa?

Sababu gani Wakristo wote wanapaswa ‘kugeuzwa’ ao kubadilika kabisa? Ni mambo gani wanayopaswa kubadili, na ni nini inayoweza kuwasaidia kubadilika kabisa?

Chukua Maamuzi kwa Hekima

Namna gani tunaweza kuwa hakika kwamba maamuzi yetu yanapatana na mapenzi ya Mungu? Ni nini inayoweza kutusaidia tutende kulingana na maamuzi yetu?

Kazi ya Upainia Inatia Nguvu Uhusiano Wetu pamoja na Mungu

Chunguza njia munane ambamo kazi ya upainia inaweza kutia nguvu uhusiano wako pamoja na Yehova. Ni nini inayoweza kukusaidia uendelee katika utumishi huu unaoleta baraka?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Kulingana na Yohana 11:35, sababu gani Yesu alitokwa machozi mbele ya kumufufua Lazaro?