MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 10, 2013

Gazeti hili linazungumuzia namna uumbaji unavyoonyesha nguvu na hekima ya Muumbaji wetu. Pia, utajifunza namna tunavyoweza kutenda kulingana na sala ambayo Yesu alitoa.

Walijitoa kwa Kujipendea Katika Ufilipino

Jifunze mambo yaliyochochea ndugu na dada fulani waache kazi zao, wauzishe vitu vyao, na kuhamia sehemu za mbali za Ufilipino.

Uumbaji Unamufunua Mungu Aliye Hai

Jifunze namna gani tunaweza kuwasaidia wengine waelewe ukweli kumuhusu Muumbaji na namna tunavyoweza kutia nguvu imani yetu katika yeye.

‘Tumutumikie Yehova Kama Watumwa’

Namna gani tunaweza kuepuka kuwa watumwa wa Shetani? Ni baraka gani ambazo watumwa waaminifu wa Yehova wanapata?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Kumutegemea Yehova Kunaleta Baraka Nyingi

Malcolm and Grace Allen wamemutumikia Yehova kwa zaidi a miaka 75. Soma namna walijifunza kwamba Yehova anawabariki wale wanaomutegemea.

Sala Iliyotayarishwa Vizuri Inatufundisha Nini?

Ni mambo gani ambayo sala ya Walawi inatufundisha? Namna gani tunaweza kufanya sala zetu ziwe zenye maana zaidi?

Tenda Kulingana na Sala Ambayo Yesu Alitoa

Yesu alisali kwanza kuhusu mapenzi ya Yehova mbele ya kusali kuhusu mahitaji yake mwenyewe. Namna gani tunaweza kutenda kulingana na sala yake?

Unaweza Kufanya Mengi Zaidi ili Kuwaonya Wengine?

Jifunze ili ujue namna watu fulani wametumia kila nafasi ili kuwahubiria wengine wanafanya shuguli zao za kila siku.