MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 12, 2013

Gazeti hili linazungumuzia namna tunavyoweza kulinda imani yetu isipotoshwe. Pia, Ukumbusho unapaswa kufanywa wakati gani, na sababu gani tukio hilo ni la maana kwetu?

Yehova Aliwalinda Katika Vivuli vya Milima

Namna gani Mashahidi wa Yehova wa Ujerumani walipata vichapo vya Biblia wakati wa utawala wa Wanazi? Mashahidi hao walipambana na hatari gani?

Usiache Akili Yako ‘Itikiswe’ kwa Urahisi

Ni maonyo gani ambayo barua ya pili ya Paulo kwa Wathesalonike inatoa kwa wakati unaofaa? Ni nini inaweza kutusaidia tusidanganywe?

Je, Utajitoa kwa Ajili ya Ufalme?

Jifunze namna tunaweza kutumia wakati, feza, nguvu, na uwezo wetu mbalimbali ili kutegemeza kazi ya Ufalme.

Je, Unakumbuka?

Umesoma kwa uangalifu habari zilizozungumuziwa hivi karibuni katika Munara wa Mulinzi? Basi, jaribu kujibu maulizo yanayofuata.

“Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”

Wakristo wanapaswa kujua nini kuhusu Pasaka? Chakula cha Mangaribi cha Bwana kina maana gani kwetu?

‘Mufanye Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’

Tunajua namna gani namna Ukumbusho unapaswa kufanywa? Mukate na divai vinafananisha nini?

Ikiwa Unafiwa na Bibi ao Bwana

Kufiwa na bibi ao bwana kunaumiza sana na uchungu huo unaendelea. Jifunze namna gani tumaini la ufufuo lililo katika Neno la Mungu linafariji.

Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2013

Chunguza habari zote zilizozungumuziwa katika magazeti ya 2013 ya Munara wa Mulinzi.