MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 5, 2014

Gazeti hili linazungumuzia njia tatu tunazoweza kutumia katika mahubiri ili kutolea watu majibu yenye kusadikisha kwa maulizo yao. Sababu gani ni jambo la maana tushikamane na tengenezo la Mungu?

‘Chakula Changu Ni Kufanya Mapenzi ya Mungu’

Mufalme Daudi, mutume Paulo, na Yesu Kristo walifurahia kufanya mapenzi ya Mungu. Namna gani tunaweza kuendelea kuhubiri kwa bidii katika maeneo magumu?

Namna Gani Tunapashwa ‘Kumujibia Kila Mutu’?

Namna gani tunaweza kufikiri vizuri juu ya Maandiko tunapoulizwa maulizo magumu? Ona njia tatu tunazoweza kutumia ili kutoa majibu yenye kusadikisha.

Namna ya Kuwatendea Wengine Katika Mahubiri

Namna gani tunapashwa kutendea kila mutu tunayemuhubiria? Ni kanuni gani inayopatikana katika
 
Mathayo 7:12 kuhusu kazi yetu ya kuhubiri?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Yehova Amenisaidia Kabisa

Kenneth Little anaonyesha namna Yehova Mungu amemusaidia kushinda haya na hali yake ya kusikia kwamba hastahili. Ona namna Mungu amebariki bidii yake katika maisha yake yote.

Yehova Ni Mungu Anayepanga Mambo Vizuri

Namna gani habari kuhusu taifa la Israeli na Wakristo wa wakati wa mitume zinaonyesha kwamba watumishi wa Yehova duniani wangepangwa vizuri leo?

Unaendelea Kusonga Mbele Pamoja na Tengenezo la Yehova?

Hivi karibuni ulimwengu huu muovu wa Shetani utaharibiwa. Sababu gani ni jambo la maana kushikamana na tengenezo ambalo Mungu anatumia duniani leo?

VITU VYA MAANA SANA VYA HISTORIA YETU

‘Kungali Kazi Kubwa ya Mavuno’

Kuna Mashahidi wa Yehova zaidi ya 760000 wanatolea watu kweli za Biblia katika Brazili. Namna gani kazi ya kuhubiri ilianza katika Amerika ya Kusini?