MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 12, 2014

Gazeti hili lina habari za kujifunza za tarehe 2 Mwezi wa 2 mupaka tarehe 1 Mwezi wa 3, 2015.

‘Aliijua Njia’

Guy H. Pierce, ndugu wa Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova alifikia mwisho wa maisha yake hapa duniani Siku ya Pili, tarehe 18 Mwezi wa 3, 2014.

Yehova Anabariki Roho ya Kujitolea

Amri fulani yenye Yehova alitolea Waisraeli inaweza kutufundisha jambo la maana sana kuhusu michango.

Sikiliza na Uelewe Maana

Yesu alitoa mifano wa mbegu ya haradali, wa chachu, wa mufanyabiashara mwenye kusafiri, na wa hazina iliyofichwa. Mifano hiyo inamaanisha nini?

Unaelewa “Maana”?

Mifano ya Yesu kuhusu mupandaji mwenye kulala usingizi, wavu, na mwana mupotevu inamaanisha nini?

Je, Unakumbuka?

Maulizo haya 12 yanaweza kukusaidia kujua ikiwa unaweza kukumbuka mambo yenye ilizungumuziwa katika gazeti Munara wa Mulinzi kuanzia Mwezi wa 6 mupaka Mwezi wa 12, 2014.

Unapaswa Kubadilisha Mawazo Yako?

Haupaswe kubadilisha maamuzi fulani yenye umefanya, lakini unaweza kubadilisha maamuzi mengine. Kuko tofauti gani kati ya mambo hayo mawili?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Yeremia alimaanisha nini wakati alisema kwamba Raheli alilia watoto wake?

Namna ya Kupambana na Mwisho wa Ulimwengu huu kwa Umoja

Mifano ine ya Biblia inaonyesha sababu gani tunapaswa kutenda kwa umoja, na sababu gani wakati unaokuja itakuwa jambo la lazima sana kutenda kwa umoja.

Unaona Uriti Wako wa Kiroho Kuwa wa Lazima Sana?

Namna gani tunaweza kuonyesha kwamba tunaona uriti wetu wa kiroho kuwa wa lazima sana?

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2014

Habari zote za 2014, zimechukuliwa katika gazeti Munara wa Mulinzi la Funzo na la Watu Wote.