Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2014

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2014

Inaonyesha tarehe ya gazeti ambamo habari inapatikana

BIBLIA

  • Hispania ya Zamani, 01/03

  • Luka, Alieleza Habari Bila Makosa? 01/01

  • Namna Iliandikwa, 01/02

  • Ni Neno la Mungu Kweli Kweli? 01/02

  • Peshitta ya Kisiria, 01/09

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

  • Ahadi ya Paradiso Ilibadilisha Maisha Yangu! (I. Vigulis), 01/02

  • Nilikuwa Mwenye Kujifikiria Sana Katika Maisha (C. Bauer), 01/10

  • Nilikuwa na Bunduki Yangu Kila Mahali Nilienda (A. Lugarà), 01/07

  • Nilikuwa Ninapiganisha Ukosefu wa Haki na Jeuri (A. Touma), 01/08

  • Walitumia Biblia ili Kujibu Kila Ulizo (I. Lamela), 01/04

  • Yehova Hakunisahau (S. Udías), 01/01

HABARI ZA KUJIFUNZA

  • Daraka la Wanawake Katika Mupango wa Yehova, 15/08

  • Endelea Kuonyesha Roho ya Kujitoa, 15/03

  • Endelea Kuwa na Maoni Yanayofaa, 15/03

  • Furahia Ndoa ya Mwana-Kondoo! 15/02

  • Furahia Pendeleo Lako la Kutumika Pamoja na Yehova! 15/10

  • Hauwezi Kuwatumikia Mabwana Wawili, 15/04

  • Kifo—Adui wa Mwisho Atakayeangamizwa, 15/09

  • Kijana, Chukua Maamuzi Yenye Hekima, 15/01

  • Kumutumikia Yehova Mbele ya Siku Zenye Musiba, 15/01

  • Kupambana na Mwisho wa Ulimwengu huu kwa Umoja, 15/12

  • Lazima Umupende Yehova Mungu Wako, 15/06

  • Maoni ya Yehova juu ya Uzaifu wa Wanadamu? 15/06

  • Muendelee Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo juu, 15/10

Mutakuwa “Ufalme wa Makuhani,” 15/10

  • ‘Mutakuwa Mashahidi Wangu,’ 15/07

  • Namna Gani Tunapaswa “Kumujibia Kila Mutu”? 15/05

  • Namna ya Kuwatendea Wengine Katika Mahubiri, 15/05

  • Namna ya Kuwatunza Watu Wenye Kuzeeka, 15/03

  • Neno la Mungu Liko Hai!—Ulitumie! 15/08

  • “Ninyi Ni Mashahidi Wangu,” 15/07

  • Sababu Gani Tunapaswa Kuwa Watakatifu, 15/11

  • Sababu Gani Unaamini Kabisa Kwamba Uko Katika Kweli? 15/09

  • “Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu,” 15/11

  • ‘Sikiliza na Uelewe Maana,’ 15/12

  • Sikiliza Sauti ya Yehova Popote Ulipo, 15/08

  • Tuige Imani ya Musa, 15/04

Tumuabudu Yehova, Mufalme wa Umilele, 15/01

  • Tumutukuze Kristo, Mufalme Mwenye Utukufu! 15/02

  • Tumutumikie Mungu kwa Uaminifu Ijapokuwa ‘Ziki Nyingi,’ 15/09

  • Tunapaswa Kuwa Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote, 15/11

  • Tusisahau Wale Wanaofanya Utumishi wa Wakati Wote, 15/09

  • Tuwaheshimu Ndugu na Dada Zetu Wenye Kuzeeka, 15/03

  • Tuwasaidie Wengine Watumie Uwezo wao Wote, 15/06

  • Ufalme wa Masiya Umetimiza Nini Katika Miaka 100? 15/01

  • ‘Ufalme Wako Uje’—Lakini, Utakuja Wakati Gani? 15/01

  • Ufufuo wa Yesu Una Maana Gani Kwetu? 15/11

  • Ukuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Ufalme, 15/10

‘Umupende Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe,’ 15/06

  • Unaelewa “Maana”? 15/12

  • Unaendelea Kusonga Mbele Pamoja na Tengenezo la Yehova? 15/05

  • Unafurahia Namna Yehova Anakuchunguza? 15/04

  • Unamuona “Yeye Asiyeonekana”? 15/04

  • Unaona Uriti Wako wa Kiroho Kuwa wa Lazima Sana? 15/12

  • Usiogope—Yehova Atakusaidia! 15/04

“Watu Ambao Mungu wao Ni Yehova,” 15/11

  • Watu wa Yehova “Wanakataa Ukosefu wa Haki,” 15/07

  • Wazazi—Mukuwe Wachungaji wa Watoto Wenu, 15/09

  • Yehova Anatukaribia Namna Gani? 15/08

  • “Yehova Anawajua Walio Wake,” 15/07

  • Yehova Ni Mungu Anayepanga Mambo Vizuri, 15/05

  • Yehova—Anatutimizia Mahitaji Yetu na Kutulinda, 15/02

Yehova—Rafiki Yetu Muzuri Zaidi, 15/02

  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • ‘Chakula Ni Kufanya Mapenzi ya Mungu,’ 15/05

  • ‘Fanya Njia ya Miguu Yako Ikuwe Laini ili Ufanye Maendeleo,’ 15/06

  • Ibada ya Familia, 15/03

  • Kupata Chakula kwa Wakati Unaofaa, 15/08

  • Kushinda Kishawishi, 01/04

  • “‘Ndiyo’ na pia ‘Siyo?’” 15/03

  • Roho ya Kujitolea, 15/12

  • ‘Rudi ili Uwatie Nguvu Ndugu,’ 15/08

  • Sababu Gani Unapaswa Kusali? 01/04

  • Saidia Ndugu na Dada Ambao Ndoa yao Imevunjika, 15/06

  • ‘Unajitahidi Kufikia’ Madaraka? 15/09

  • Unapaswa Kubadilisha Mawazo Yako? 15/12

  • Watu wa Jamaa Wasio Mashahidi, 15/03

  • MAMBO MENGINE

  • Alivumilia Maumivu ya Moyoni Yaliyokuwa Kama ya Upanga (Maria), 01/05

  • Alivumilia Ukosefu wa Haki (Eliya), 01/02

  • Dini ya Kweli, 01/08

  • Kifo Ndio Mwisho wa Mambo Yote? 01/01

  • Kombeo Katika Vita ya Zamani, 01/05

  • Kulinda Samaki Wakati Wa Zamani, 01/07

  • Kuna Mutu Anayejua Wakati Unaokuja? 01/05

  • Kuna Tumaini Gani kwa Ajili ya Mababu? 01/06

  • Kupasua Nguo, 15/04

  • Kusudi la Dunia, 01/06

  • Malaika, 01/09

  • Matoleo Kwenye Hekalu, 01/02

  • Mawazo ya Mungu juu ya Kuvuta Tumbako, 01/06

  • Michango Kwenye Hekalu, 01/01

  • Mujane wa Sarefathi, 15/02

  • Mukate wa Uzima, 01/06

  • ‘Musikilize Ndoto hii’ (Yosefu), 01/08

  • Muungano wa Dini, 01/03

  • Namna Watengenezaji wa Mashua wa Zamani Walizuia Maji Kuingia Katika Mashua, 01/07

  • Namna ya Kufundisha Watoto Adabu, 01/07

  • Ni Nani Anayeutawala Ulimwengu? 01/05

  • Ninapaswa Kukopa Feza? 01/12

  • ‘Ninawezaje Kufanya Ubaya huu?’ (Yosefu), 01/11

  • Noeli, 01/12

  • Rangi ya Zambarau, 01/04

  • Sababu Gani Mambo Mabaya Yanafikia Watu Wazuri, 01/07

  • Sababu Gani Tunapaswa Kusali Ufalme Ukuje? 01/10

Sababu Gani Tusali? Namna Gani? 01/07

  • Sababu Gani Watenda-Maovu Waliouawa Walivunjwa Miguu? 01/05

  • Sheria ya Mungu kwa Waisraeli Ilitumika kwa Haki na Bila Upendeleo? 01/09

  • Shetani Anakuwaka Kabisa? 01/11

  • Thomas Emlyn (musomi), 01/04

  • Timgad—Muji Uliozikwa, 01/12

  • Tumaini kwa Ajili ya Watu Waliokufa, 01/01

  • Udi, 01/02

‘Ufahamu Unapunguza Hasira,’ 01/12

  • Ufalme wa Mungu Ulianza Kutawala Wakati Gani? 01/10, 01/11

  • Ufalme wa Mungu—Una Maana Gani Kwako? 01/10

  • Vita Iliyobadilisha Ulimwengu (Vita ya Kwanza ya Ulimwengu), 01/02

  • Watu Tatu Waliotafuta Kweli Kati ya Mwaka wa 1501 na 1600, 01/06

  • Watu Wataharibisha Dunia Kabisa-Kabisa? 01/09

  • Watumwa Waroma, 01/04

  • MASHAHIDI WA YEHOVA

  • ‘Aliijua Njia’ (G. Pierce), 15/12

  • Eureka Drama, 15/08

  • Filme Yenye Kujenga Imani Imefanya Miaka 100 (Foto-Drama), 15/02

  • “Kazi Kubwa ya Mavuno” (Brazili), 15/05

  • Kweli ya Biblia Inafika Katika Inchi ya Japani, 15/11

  • Uamuzi Niliochukua Nilipokuwa Kijana Mudogo, 15/01

  • Walijitoa Katika Afrika Mangaribi, 15/01

  • Walijitoa Katika Mikronesia, 15/07

  • Walijitoa Katika Taiwan, 15/10

  • Wanaamini Yesu? 01/05

  • MASIMULIZI KUHUSU MAISHA YA WATU

  • Mahali Utumishi wa Wakati Wote Umeniongoza (R. Wallen), 15/04

  • Maisha Yenye Baraka Katika Kazi ya Mungu (P. Carrbello), 01/09

  • Matukio ya Maana Sana Katika Utumishi Wangu (M. Olson), 15/10

  • Nilipoteza Baba—Nimepata Baba Mwengine (G. Lösch), 15/07

  • Ninapata Nguvu Wakati wa Uzaifu (M. Morlans), 01/03

  • Yehova Amenisaidia (K. Little), 15/05

  • MAULIZO YA WASOMAJI WETU

  • Raheli alilia watoto wake? (Yer. 31:15), 15/12

  • Wakristo wanaweza kuchoma maiti? 15/06

  • Wale Mashahidi wawili ni nani? (Ufu. 11:3-12), 15/11

  • Watu watakaofufuliwa ili kuishi diuniani ‘wataoa na kuolewa’? (Lu. 20:34-36), 15/08

  • Wayahudi ‘walimungojea’ Masiya? (Lu. 3:15), 15/02

  • Wazee na watumishi wa huduma wanawekwa namna gani? 15/11

  • Yehova anaruhusu Mukristo akose chakula? (Zab. 37:25; Mt 6:33), 15/09

  • YEHOVA

  • Anabariki Roho ya Kujitolea, 15/12

  • Anakuhangaikia Wewe? 01/08

  • Mambo Yenye Mungu Amekufanyia, 01/03

  • Namna Anajisikia Kuhusu Ukosefu wa Haki, 01/01

  • Namna Watoto Wanajifunza Kumupenda Mungu, 01/12

  • Ni Mutu Kabisa? 01/01

  • Ni Nani Aliyemuumba Mungu? 01/08

  • Sababu Gani Mungu Anaacha Watu Wateseke? 01/01

  • Sababu Gani Mungu Anaruhusu Watu Wenye Uwezo Wawaonee Watu wa Hali ya Chini? 01/02

  • Unaweza Kumukaribia Mungu, 01/12

  • Unaweza Kumuona Mungu Asiyeonekana? 01/07

  • “Uzuri wa Yehova” (Zab. 27:4), 15/02

  • YESU KRISTO

  • Anafanya Nini leo? 01/04

  • Atafanya Nini Wakati Unaokuja? 01/04

  • Kifo Chake Kinatuletea Faida Gani? 01/03

  • Namna Gani Tunapaswa Kukumbuka Kifo cha Yesu? 01/03

  • Sababu Gani Alifufua Watu? 01/11

  • Tukio Ambalo Haupaswi Kukosa (Ukumbusho), 01/03