MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 4, 2015

Gazeti hili liko na habari za kujifunza za tarehe 1 Mwezi wa 6 mupaka tarehe 28 Mwezi wa 6, 2015.

Wazee, Munaona Namna Gani Kazi ya Kuzoeza Wengine?

Ona mambo saba yenye wazee ambao wamepata matokeo mazuri katika kuwazoeza wengine wamependekeza.

Namna Wazee Wanazoeza Wengine ili Wafikie Madaraka

Wazee wanaweza kufuata mufano wa Yesu wakati wanazoeza wengine, na wanafunzi wanaweza kufuata mufano wa Elisha.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Baraka Katika Nyakati Zenye Kufaa na Katika Nyakati Zenye Taabu

Ndugu Trophim Nsomba alivumilia mateso makali katika inchi ya Malawi kwa sababu ya imani yake. Masimulizi kuhusu maisha yake inaweza kukusaidia uazimie kuendelea kuwa mwaminifu.

Urafiki Wako Pamoja na Yehova Ni wa Kweli Kabisa?

Ili urafiki ukuwe wenye nguvu, marafiki wanapaswa kuendelea kuzungumuza. Namna gani unaweza kutumikisha kanuni hiyo katika urafiki wako pamoja na Mungu?

Umutegemee Yehova Sikuzote!

Unaweza kupambana na majaribu makali zaidi na kuendelea kuwa na urafiki wenye nguvu pamoja na Mungu.

Sababu Gani Kutengwa na Kutaniko ni Mupango Wenye Upendo?

Namna gani jambo lenye kuleta huzuni nyingi linaweza kuletea wote faida?

Muti Ukikatwa, Unaweza Kuchipuka Tena?

Jibu la ulizo hilo linaweza kukutolea tumaini kwa ajili ya wakati unaokuja.