MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 11, 2013 | Mafundisho Ambayo Yanafanya Watu Wasimupende Mungu

Mafundisho ya uongo ya kidini ambayo yamefundishwa kwa miaka mingi yanafanya watu wasimupende Mungu wamuone kuwa mbali nao. Namna gani tunajua kuwa Mungu hayuko mbali na watu ao kwamba ni mwenye huruma?

HABARI KUBWA

Sababu Inayofanya Watu Wengi Waone Ni Vigumu Kumupenda Mungu

Je, unajisikia kuwa mbali na Mungu? Je, watu hawawezi kumupenda Mungu? Soma sababu gani Wakristo fulani wamefikiri hivyo.

HABARI KUBWA

Fundisho la Uongo Ambalo Limemufanya Mungu Kuwa Hana Jina

Je, jina la pekee la Mungu linaweza kujulikana kwelikweli na kutumiwa? Sababu gani ni lazima ujue jina la Mungu?

HABARI KUBWA

Fundisho la Uongo Ambalo Limemufanya Mungu Kuwa Fumbo

Fundisho la Utatu linawazuia kabisa watu kumujua na kumupenda Mungu. Je, unaweza kweli kumupenda mutu fulani ambaye haiwezekane kumujua ao kumuelewa?

HABARI KUBWA

Fundisho la Uongo Ambalo Limemufanya Mungu Kuwa Asiye na Huruma

Watu wengi wanaamini kwamba Mungu anaazibu watenda-zambi milele. Je, Mungu anatenda kwa uovu? Ni nini kinatokea kabisa wakati mutu anakufa?

HABARI KUBWA

Kweli Inaweza Kukuweka Huru

Namna gani Yesu alituonyesha jinsi tunaweza kujua ikiwa mafundisho ya kidini ni ya kweli ao hapana?

SIRI YA FURAHA YA FAMILIA

Zungumuza na Kijana Wako Bila Kubishana-bishana Naye

Kijana wako yuko katika hatua za kukomalisha sifa za kumutambulisha na anahitaji hali za nyumbani ziwe nzuri ili kueleza maoni yake kwa uhuru. Unaweza kumusaidia namna gani?

MUKARIBIE MUNGU

‘Musawabishaji wa Wale Wanaomutafuta kwa Bidii’

Ni imani ya namna gani ambayo inamupendeza Yehova? Ni zawadi gani ambayo Mungu anawapatia wale ambao wanamuabudu kwa uaminifu?

TUIGE IMANI YAO

‘Alitangazwa Kuwa Muadilifu kwa Matendo’

Namna gani maisha ya Rahabu yanaonyesha kwamba hakuna mutu ambaye hafae kitu machoni pa Yehova? Tunaweza kujifunza nini kutokana na imani yake?

Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Je, watu wote wazuri wanaenda mbinguni? Ona yale ambayo Biblia inasema.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Kama Dini Yao Tu Ndio ya Kweli?

Je, Yesu alisema kama kuna barabara nyingi zinazoongoza kwenye uzima wa milele?