Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Mumupatie Yehova Utukufu

Mumupatie Yehova Utukufu

(Zaburi 96:8)

Chukua:

  1. 1. Ni nani kama Yehova,

    Mufalme Mutukufu?

    Nikushukuru na nini,

    Juu unanipenda sana?

    Nikiangalia mbingu,

    Naona utukufu.

    Sasa miye niko nani,

    Juu unionyeshe wema?

    (REFREE)

    Ee Yehova, ninakuimbia

    Wimbo wa kukusifu.

    Uko Mungu wa milele Baba.

    Nitakutumikia.

    Unastahili sifa.

  2. 2. Nitakupatia byote

    Byenye unastahili.

    Tatangaza wema wako,

    Pia utukufu wako.

    Ni heshima kubwa sana

    Kuwa Shahidi wako.

    Ninakutumainia.

    Uniongoze milele.

    (REFREE)

    Ee Yehova, ninakuimbia

    Wimbo wa kukusifu.

    Uko Mungu wa milele Baba.

    Nitakutumikia.

    Unastahili sifa.

  3. 3. Anga, dunia, bahari

    Ni bya ajabu sana

    Na binaonyesha wazi

    Upendo wako mukubwa.

    Naona hekima yako,

    Ukubwa na uzuri.

    Unastahili heshima,

    Uliumba bitu byote.

    (REFREE)

    Ee Yehova, ninakuimbia

    Wimbo wa kukusifu.

    Uko Mungu wa milele Baba.

    Nitakutumikia.

    Unastahili sifa.