Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tulia na Uwaze

Tulia na Uwaze

Chukua:

  1. 1. Tuko naota moto na kuzungumuza,

    ju ya uumbaji wa Mungu wetu na mabaraka yake.

    Tunasaabu kwanza mambo ya mubaya.

    Na tunamushukuru Mungu wetu juu ya upendo wake.

    (REFREE)

    Acha kwanza bingine na utulie,

    Uwaze, juu ya uumbaji.

    Na mambo ya kukuletea furaha,

    Wazia mambo,

    Ya muzuri.

  2. 2. Hata kutokee nini, hatuko peke yetu

    tutavumilia, juu Yehova iko na siye kila siku.

    Tusione tu magumu, tuone Yehova,

    Ni rafiki yetu na tuko hakika, hawezi kutuacha.

    (REFREE)

    Acha kwanza bingine na utulie,

    Uwaze, juu ya uumbaji

    Na mambo ya kukuletea furaha,

    Wazia mambo,

    Ya muzuri.

    Ya muzuri;

    Ya muzuri.

    (REFREE)

    Acha kwanza bingine na utulie,

    Uwaze, juu ya uumbaji.

    Na mambo ya kukuletea furaha,

    Ya muzuri.

    (KUMALIZIA)

    Saabu kwanza matatizo,

    Uwaze mambo

    Saabu kwanza matatizo,

    Kisha waza mambo,

    Ya muzuri.