Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 107

Tuonyeshe Upendo Kama Mungu

Tuonyeshe Upendo Kama Mungu

(1 Yohana 4:19)

  1. 1. Yehova Mungu alituwekea

    Mufano muzuri.

    Alionyesha upendo mukubwa

    Kwa kutoa Yesu Kristo,

    Ili akuye kufunika zambi,

    Tukombolewe mu magumu yetu.

    Upendo wake ni mukubwa sana

    Mungu wetu ni wa ajabu.

  2. 2. Kama Yehova, tukuwe tayari

    Kupenda wengine.

    Tuwaonyeshe upendo wa kweli,

    Na tukuwe na umoja.

    Hatutasema tunapenda Mungu,

    Lakini tuko tunachukiana.

    Kwa hiyo basi, tuhurumiane.

    Tupendane kwa moyo wote.

  3. 3. Tuko katika familia moja

    ya Mungu wa kweli.

    Tuko tayari kusaidiana

    Mu wakati wa magumu.

    Umoja wetu unategemea

    Neno ya Mungu pia roho yake.

    Basi tupende ndugu zetu wote

    Mu maisha ya kila siku.