Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 114

“Mukuwe na Uvumilivu”

“Mukuwe na Uvumilivu”

(Yakobo 5:8)

  1. 1. Yehova Mungu wetu

    Anapenda jina yake.

    Na sasa watu wengi

    Wameichafua sana.

    Lakini kwa upendo

    Iko navumilia,

    Sababu anapenda

    Wote wamujue.

    Na anaendelea

    Kuwa na uvumilivu,

    Mupaka watu wengi

    Waweze kuokolewa.

  2. 2. Kwa hiyo, siye pia

    Tukuwe wavumilivu.

    Tumuige Yehova,

    Tuepuke kasirani;

    Tena tusikazie

    Makosa ya wengine.

    Tukipata magumu,

    Tumuombe Mungu

    Atupatie nguvu,

    Tuweze kuvumilia;

    Na tukifanya vile

    Tutakuwa na furaha.