Danieli: Mwanaume wa Imani

Danieli iko mbali na kwao, na kule imani na ushikamanifu wake vinajaribiwa. Lakini anaendelea kumutegemea Yehova hata wakati iko mu hali za nguvu sana.

Danieli: Mwanaume wa Imani​—Sehemu ya 1

Danieli atabakia muaminifu kwa Mungu wake Yehova, hata kama iko mbali na familia yake, na wakati muji wake umebomolewa?

Danieli: Mwanaume wa Imani​—Sehemu ya 2

Utawala moja wenye nguvu unatokea. Danieli atapata maadui wengine. Imani yake inajaribiwa mu namna yenye ilikuwaka haiyajaribiwa.