Danieli: Mwanaume wa Imani
Danieli iko mbali na kwao, na kule imani na ushikamanifu wake vinajaribiwa. Lakini anaendelea kumutegemea Yehova hata wakati iko mu hali za nguvu sana.
Danieli: Mwanaume wa Imani—Sehemu ya 1
Danieli atabakia muaminifu kwa Mungu wake Yehova, hata kama iko mbali na familia yake, na wakati muji wake umebomolewa?
Danieli: Mwanaume wa Imani—Sehemu ya 2
Utawala moja wenye nguvu unatokea. Danieli atapata maadui wengine. Imani yake inajaribiwa mu namna yenye ilikuwaka haiyajaribiwa.