Hadisi ya Yona—Somo Juu ya Uhodari na Rehema
Nabii Yona anachagua kukataa kutii amri ya Yehova ya kutangaza hukumu juu ya Ninawi muji mukubwa wa Ashuru; lakini kupitia matukio yenye kuogopesha, anafikia kuelewa kabisa maana ya uhodari na rehema.
Ona pia...
TUIGE IMANI YAO
Makosa ya Yona Yalimufundisha
Yona aliogopa kutimiza mugawo wake, je, unamuelewa? Hadisi yake inatufundisha mambo ya lazima kuhusu uvumilivu na rehema ya Yehova.
TUIGE IMANI YAO
Yona Alijifunza Kuwa Mwenye Rehema
Namna gani hadisi ya yona inatusaidia tujione namna tulivyo?