Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha​—Video

Kuwa na uwezo wa kusoma na kufundisha mbele ya watu.

SOMO YA 1

Utangulizi Muzuri

Unaweza kufanya nini juu wasikilizaji wako wakuwe na hamu ya kusikiliza mambo yenye unataka kusema?

SOMO YA 2

Namna ya Kuzungumuza

Unaweza kufanya nini juu wasikilizaji wako wajisikie muzuri wakati unazungumuza nao?

SOMO YA 3

Kutumia Maulizo

Namna gani unaweza kutumia maulizo juu ya kufikiri na wasikilizaji wako, juu ya kufanya waendelee kukusikiliza, na juu ya kukazia mambo makubwa?

SOMO YA 4

Kutanguliza Maandiko Muzuri

Namna gani unaweza kutayarisha wasikilizaji wako juu wafaidike kabisa na maandiko yenye unasoma?

SOMO YA 5

Kusoma Bila Makosa

Ni njia gani fulani zenye zinaweza kutusaidia kusoma mambo kwa sauti vile inaandikwa mu kichapo?

SOMO YA 6

Kufasiria Waziwazi Sababu ya Kutumia Andiko

Unapaswa kufanya nini kisha kusoma andiko ili usaidie wasikilizaji wako waelewe sababu gani umesoma ile andiko?

SOMO YA 7

Kusema Mambo ya Kweli na Kusadikisha Wasikilizaji

Unaweza kufanya nini ili uhakikishe kama unasema mambo ya kweli kabisa?

SOMO YA 8

Mifano Yenye Inafundisha

Namna gani tunaweza kutumia muzuri mifano kama vile Yesu, Mwalimu Mukubwa alifanya?

SOMO YA 9

Kutumia Muzuri Vitu vya Kuonyesha Wakati wa Kufundisha

Namna gani unaweza kutumia picha ao vitu vingine vya kuonyesha ili kusaidia wasikilizaji waelewe mambo makubwa?

SOMO YA 10

Kubadilisha Sauti

Namna gani unaweza kubadilisha sauti ili kuzungumuzia mambo waziwazi na kuchochea hisia za wasikilizaji wako?

SOMO YA 11

Uchangamufu

Namna gani unaweza kutumia uchangumufu ili kuchochea wasikilizaji wako watende?

SOMO YA 12

Kuzungumuza kwa Upole na kwa Upendo

Namna gani unaweza kuonyesha wasikilizaji wako upole na upendo wa kweli?

SOMO YA 13

Kuonyesha Wasikilizaji Namna ya Kutumikisha Habari

Namna gani unaweza kuzungumuzia habari fulani ili kusaidia wasikilizaji wako waelewe namna ya kuitumikisha na iwachochee kutenda?

SOMO YA 14

Kukazia Mambo Makubwa

Saidia wasikilizaji wako wasikilize kwa uangalifu, waelewe, na kukumbuka mambo yenye unasema kwa kukazia mambo makubwa.

SOMO YA 15

Kuzungumuza kwa Usadikisho

Namna gani unaweza kuzungumuza kwa usadikisho wakati uko unasema hotuba ao wakati uko mu mahubiri?

SOMO YA 16

Kutia Watu Moyo

Ni mambo gani tatu ya lazima yenye itatusaidia tuzungumuze mambo yenye itatia wengine moyo na kuwaletea tumaini?

SOMO YA 17

Kusema mambo ya Kueleweka

Ili wasikilizaji wako waelewe mambo yenye uko unafundisha, unapaswa kuepuka kufanya nini?

SOMO YA 18

Kufundisha Kabisa Wasikilizaji Wako

Namna gani unaweza kusaidia wasikilizaji wako wafikiri juu ya habari na kuwafundisha kitu fulani cha lazima?

SOMO YA 19

Kujikaza Kugusa Moyo

Unaweza kufanya nini ili usaidie wasikilizaji wako wakuwe na nia ya muzuri?

SOMO YA 20

Umalizio Muzuri

Ikuwe uko mu kutaniko ao mu mahubiri, unapaswa kujikaza kufanya nini mu maneno yako ya kumalizia?

Ona pia...

VITABU NA BROSHUA

Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha

Broshua hii imetayarishwa juu ikusaidie ukuwe musomaji muzuri mbele ya watu na ukuwe musemaji na mufundishaji muzuri.