Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”

Nehemia anasimamia kazi ya kujenga upya kuta za Yerusalemu na anasaidia kurudisha ibada safi ya Yehova.

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”—Sehemu ya 1

Nehemia anajikaza kujenga kuta za Yerusalemu ijapokuwa upinzani mbalimbali wenye anapata.

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”—Sehemu ya 2

Kuta zimeisha, lakini Nehemia atasaidia taifa la Israeli lianze tena kumuabudu Yehova?