Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”—Sehemu ya 1

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”—Sehemu ya 1

Nehemia anaacha cheo chenye alikuwa nacho mu nyumba ya mufalme kule Shushani, ili kuenda kujenga upya kuta za muji mukubwa wa Yehova. Lakini, zaidi ya kazi kubwa ya kujenga atapambana pia na majaribu ingine. Ni sala na uhodari tu njo vitamusaidia kumaliza ile kazi?