Kumutumainia Yehova
Mez 3:5, 21-26; Isa 26:3, 4; Yer 17:7, 8
Ona pia Zb 34:8; 40:4, 5; Mez 20:22; Isa 30:15
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
1Ny 5:18-20, 22—Makabila fulani ya Israeli inapata ushindi mu vita juu inamutumainia Yehova
2Ny 14:9-13—Wakati Mufalme Asa anapambana na jeshi kubwa sana, anasali na anaonyesha kama anamutumainia sana Yehova