Mwenendo wa Wakristo
Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuishi kulingana na mambo yenye wanaamini?
Wakristo wanapaswa kufuata mufano gani?
Kama Wakristo wanaishi kulingana na kanuni za Mungu, watapata matokeo gani?
Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kusaidia Wakristo waepuke mwenendo mubaya?
Ona pia Mt 5:28; 15:19; Ro 1:26, 27; Efe 2:2, 3
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Mwa 3:1-6—Eva anaanguka mu mutego kuliko kuiepuka
-
Yos 7:1, 4, 5, 20-25—Juu Akani anakatala kumutii Yehova, watu wengi wanateseka juu ya zambi yake
-
Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kusaidia Wakristo wafanye mambo ya muzuri?
Ro 12:2; Efe 4:22-24; Flp 4:8; Kol 3:9, 10
Ona pia Mez 1:10-19; 2:10-15; 1Pe 1:14-16
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Mwa 39:7-12—Yosefu anaepuka majaribu kutoka kwa bibi ya Potifa
-
Yob 31:1, 9-11—Yobu anaazimia kuepuka kuangalia mwanamuke mwenye haiko bibi yake kwa njia yenye haifae
-
Mt 4:1-11—Yesu anapinga jaribu kutoka kwa Shetani
-
Ni tabia gani za mubaya zenye Wakristo wanapaswa kuepuka?
Ona “Tabia za Mubaya”
Ni matendo gani ya mubaya yenye Wakristo wanapaswa kuepuka?
Ona “Matendo ya Mubaya”
Ni sifa gani za muzuri zenye Wakristo wanapaswa kukomalisha?
Mwenendo safi
2Ko 11:3; 1Ti 4:12; 5:1, 2, 22; 1Pe 3:1, 2
Ona pia Flp 4:8; Tit 2:3-5
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Mwa 39:4-12—Yosefu anabakia safi hata kama bibi ya Potifa anamukaza sana
-
Wim 4:12; 8:6—Mwanamuke Mushulami iko muaminifu kwa mwanaume mwenye alishapenda, na anabakia safi; iko sawa vile bustani yenye kufungwa
-
Kumutumainia Yehova
Ona “Kumutumainia Yehova”
Kuona wengine kuwa wa maana kuliko siye
Ona “Unyenyekevu”
Kutosheka
Ona “Kutosheka”
Kutumika pamoya na wengine
Muh 4:9, 10; 1Ko 16:16; Efe 4:15, 16
Ona pia Zb 110:3; Flp 1:27, 28; Ebr 13:17
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
1Ny 25:1-8—Mufalme Daudi anachagua wachezaji na waimbaji juu ya utumishi mutakatifu, ile inaomba watumike pamoya
-
Ne 3:1, 2, 8, 9, 12; 4:6-8, 14-18, 22, 23; 5:16; 6:15—Yehova anabariki watu wake juu wanapenda kutumika pamoya, ile inafanya wajenge kuta za Yerusalemu mu siku 52 tu
-
Uhodari
Ona “Uhodari”
Kutia wengine moyo; kuwa wenye kujenga
Isa 35:3, 4; Ro 1:11, 12; Ebr 10:24, 25
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaida:
-
1Sa 23:15-18—Yonatani anamutia moyo Daudi wakati Mufalme Sauli anataka kumuua
-
Mdo 15:22-31—Mu karne ya kwanza, baraza yenye kuongoza inatumia makutaniko barua zenye zinawatia moyo sana
-
Uvumilivu; kubakia imara
Mt 24:13; Lu 21:19; 1Ko 15:58; Gal 6:9; Ebr 10:36
Ona pia Ro 12:12; 1Ti 4:16; Ufu 2:2, 3
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Ebr 12:1-3—Kwa kutumia mufano wa Yesu, Mutume Paulo anatia moyo Wakristo wavumilie
-
Yak 5:10, 11—Yakobo anataya mufano wa Yobu wa uvumilivu na anaonyesha namna Yehova alimubariki
-
Uaminifu mu mambo yote
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Da 1:3-5, 8-20—Nabii Danieli na marafiki wake watatu wanatii Sheria ya Musa kuhusu chakula yenye wanapaswa kula
-
Lu 21:1-4—Yesu anafurahia namna mujane fulani maskini anaonyesha imani kubwa kwa kutoa muchango hata kama ilikuwa ya kidogo
-
Kumuogopa Yehova
Ona pia Zb 111:10
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Ne 5:14-19—Juu Nehemia anamuogopa Mungu, wakati iko gavana halipishe watu kodi mingi sawa vile magavana wengine
-
Ebr 5:7, 8—Yesu anatuwekea mufano kuhusu namna ya kumuogopa Mungu
-
Tunda la roho
Ona “Tunda la Roho ya Mungu”
Ukarimu
Ona “Ukarimu”
Kujitoa kwa Mungu
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Mdo 10:1-7—Hata kama Kornelio ni Mutu wa Mataifa, Yehova anaona kama ni mutu mwenye anapenda kusali sana, mwenye kujitoa sana, mwenye kumuogopa Mungu, na mukarimu
-
1Ti 3:16—Yesu ni mufano muzuri sana wa kujitoa kwa Mungu
-
Maneno yenye kupendeza na yenye kutia moyo
Unyoofu
Ona “Unyoofu”
Ukaribishaji wageni
Ona “Ukaribishaji wageni”
Unyenyekevu; kiasi
Ona “Unyenyekevu”
Kutokuwa na ubaguzi
Ona “Kutokuwa na ubaguzi”
Bidii; Kujitoa sana
Ona “Kazi”
Uaminifu-mushikamanifu
Ona “Uaminifu-mushikamanifu”
Kuhangaikia sana wengine
Uaminifu
Ona “Uaminifu”
Rehema
Ona “Rehema”
Kiasi katika tabia
Ona pia Mez 23:1-3; 25:16
Utii
Ona “Utii”
Utaratibu
Kudumu katika sala
Kukuwa tayari kusamehe
Ona “Musamaha”
Heshima
Ona pia Efe 5:33; 1Pe 3:1, 2, 7
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Hes 14:1-4, 11—Wakati Waisraeli wanakosa kumuheshimia nabii Musa na Kuhani Mukubwa Haruni, Yehova anaona kama ni yeye njo wanakosa kuheshimia
-
Mt 21:33-41—Yesu anatumia mufano juu ya kuonyesha mambo yenye itawapata wale wenye hawaheshimie manabii wa Yehova na Mwana Wake
-
Kuwa mutu wa kiroho; kutia mapenzi ya Yehova pa nafasi ya kwanza
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Ebr 11:8-10—Juu anaona Ufalme wa Mungu kuwa jambo ya kweli mu maisha yake, Abrahamu anaitika kuishi kama mugeni mu mahema
-
Ebr 11:24-27—Namna Musa anaamua kutumia maisha yake inaonesha kama anaona Yehova kuwa mutu wa kweli kabisa
-
Kujitiisha
Ona pia Yoh 6:38; Efe 5:22-24; Kol 3:18
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Lu 22:40-43—Yesu anajitiisha kwa Baba yake hata wakati haiko mwepesi kufanya vile
-
1Pe 3:1-6—Mutume Petro anashauria bibi wajitiishe sawa Sara
-
Kuwa na huruma sana
Ona “Huruma”
Kuwa mwenye kusema kweli
Ona “Unyoofu”