Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Mwenendo wa Wakristo

Mwenendo wa Wakristo

Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuishi kulingana na mambo yenye wanaamini?

Wakristo wanapaswa kufuata mufano gani?

Kama Wakristo wanaishi kulingana na kanuni za Mungu, watapata matokeo gani?

Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kusaidia Wakristo waepuke mwenendo mubaya?

Mez 4:​23-27; Yak 1:​14, 15

Ona pia Mt 5:28; 15:19; Ro 1:​26, 27; Efe 2:​2, 3

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kusaidia Wakristo wafanye mambo ya muzuri?

Ro 12:2; Efe 4:​22-24; Flp 4:8; Kol 3:​9, 10

Ona pia Mez 1:​10-19; 2:​10-15; 1Pe 1:​14-16

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 39:​7-12—Yosefu anaepuka majaribu kutoka kwa bibi ya Potifa

    • Yob 31:​1, 9-11—Yobu anaazimia kuepuka kuangalia mwanamuke mwenye haiko bibi yake kwa njia yenye haifae

    • Mt 4:​1-11—Yesu anapinga jaribu kutoka kwa Shetani

Ni tabia gani za mubaya zenye Wakristo wanapaswa kuepuka?

Ona “Tabia za Mubaya

Ni matendo gani ya mubaya yenye Wakristo wanapaswa kuepuka?

Ona “Matendo ya Mubaya

Ni sifa gani za muzuri zenye Wakristo wanapaswa kukomalisha?

Mwenendo safi

2Ko 11:3; 1Ti 4:12; 5:​1, 2, 22; 1Pe 3:​1, 2

Ona pia Flp 4:8; Tit 2:​3-5

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 39:​4-12—Yosefu anabakia safi hata kama bibi ya Potifa anamukaza sana

    • Wim 4:12; 8:6—Mwanamuke Mushulami iko muaminifu kwa mwanaume mwenye alishapenda, na anabakia safi; iko sawa vile bustani yenye kufungwa

Kumutumainia Yehova

Kuona wengine kuwa wa maana kuliko siye

Ona “Unyenyekevu

Kutosheka

Ona “Kutosheka

Kutumika pamoya na wengine

Muh 4:​9, 10; 1Ko 16:16; Efe 4:​15, 16

Ona pia Zb 110:3; Flp 1:​27, 28; Ebr 13:17

Uhodari

Ona “Uhodari

Kutia wengine moyo; kuwa wenye kujenga

Isa 35:​3, 4; Ro 1:​11, 12; Ebr 10:​24, 25

Ona pia Ro 15:2; 1Te 5:11

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaida:

    • 1Sa 23:​15-18—Yonatani anamutia moyo Daudi wakati Mufalme Sauli anataka kumuua

    • Mdo 15:​22-31—Mu karne ya kwanza, baraza yenye kuongoza inatumia makutaniko barua zenye zinawatia moyo sana

Uvumilivu; kubakia imara

Mt 24:13; Lu 21:19; 1Ko 15:58; Gal 6:9; Ebr 10:36

Ona pia Ro 12:12; 1Ti 4:16; Ufu 2:​2, 3

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Ebr 12:​1-3—Kwa kutumia mufano wa Yesu, Mutume Paulo anatia moyo Wakristo wavumilie

    • Yak 5:​10, 11—Yakobo anataya mufano wa Yobu wa uvumilivu na anaonyesha namna Yehova alimubariki

Uaminifu mu mambo yote

Lu 16:10

Ona pia Mwa 6:22; Kut 40:16

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Da 1:​3-5, 8-20—Nabii Danieli na marafiki wake watatu wanatii Sheria ya Musa kuhusu chakula yenye wanapaswa kula

    • Lu 21:​1-4—Yesu anafurahia namna mujane fulani maskini anaonyesha imani kubwa kwa kutoa muchango hata kama ilikuwa ya kidogo

Kumuogopa Yehova

Yob 28:28; Zb 33:8; Mez 1:7

Ona pia Zb 111:10

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Ne 5:​14-19—Juu Nehemia anamuogopa Mungu, wakati iko gavana halipishe watu kodi mingi sawa vile magavana wengine

    • Ebr 5:​7, 8—Yesu anatuwekea mufano kuhusu namna ya kumuogopa Mungu

Tunda la roho

Ukarimu

Ona “Ukarimu

Kujitoa kwa Mungu

1Ti 6:6; 2Pe 2:9; 3:11

Ona pia 1Ti 5:4; 2Ti 3:12

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mdo 10:​1-7—Hata kama Kornelio ni Mutu wa Mataifa, Yehova anaona kama ni mutu mwenye anapenda kusali sana, mwenye kujitoa sana, mwenye kumuogopa Mungu, na mukarimu

    • 1Ti 3:16—Yesu ni mufano muzuri sana wa kujitoa kwa Mungu

Maneno yenye kupendeza na yenye kutia moyo

Mez 12:18; 16:24; Kol 4:6; Tit 2:​6-8

Ona pia Mez 10:11; 25:11; Kol 3:8

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Zb 45:2—Unabii kuhusu Masiya unaonesha kama Yehova alichagua Mufalme mwenye kusema maneno yenye kupendeza sana

    • Lu 4:22—Wakati watu walisikia maneno ya Yesu yenye kupendeza, waliguswa sana

Unyoofu

Ona “Unyoofu

Ukaribishaji wageni

Unyenyekevu; kiasi

Ona “Unyenyekevu

Kutokuwa na ubaguzi

Bidii; Kujitoa sana

Ona “Kazi

Uaminifu-mushikamanifu

Kuhangaikia sana wengine

Uaminifu

Ona “Uaminifu

Rehema

Ona “Rehema

Kiasi katika tabia

Utii

Ona “Utii

Utaratibu

Kudumu katika sala

Kukuwa tayari kusamehe

Ona “Musamaha

Heshima

Flp 2:​3, 4; 1Pe 3:15

Ona pia Efe 5:33; 1Pe 3:​1, 2, 7

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Hes 14:​1-4, 11—Wakati Waisraeli wanakosa kumuheshimia nabii Musa na Kuhani Mukubwa Haruni, Yehova anaona kama ni yeye njo wanakosa kuheshimia

    • Mt 21:​33-41—Yesu anatumia mufano juu ya kuonyesha mambo yenye itawapata wale wenye hawaheshimie manabii wa Yehova na Mwana Wake

Kuwa mutu wa kiroho; kutia mapenzi ya Yehova pa nafasi ya kwanza

Mt 6:33; Ro 8:5; 1Ko 2:​14-16

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Ebr 11:​8-10—Juu anaona Ufalme wa Mungu kuwa jambo ya kweli mu maisha yake, Abrahamu anaitika kuishi kama mugeni mu mahema

    • Ebr 11:​24-27—Namna Musa anaamua kutumia maisha yake inaonesha kama anaona Yehova kuwa mutu wa kweli kabisa

Kujitiisha

Efe 5:21; Ebr 13:17

Ona pia Yoh 6:38; Efe 5:​22-24; Kol 3:18

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Lu 22:​40-43—Yesu anajitiisha kwa Baba yake hata wakati haiko mwepesi kufanya vile

    • 1Pe 3:​1-6—Mutume Petro anashauria bibi wajitiishe sawa Sara

Kuwa na huruma sana

Ona “Huruma

Kuwa mwenye kusema kweli

Ona “Unyoofu