Sikiliza Majibu ya hii Maulizo
1. Tunaweza kufanya nini ili kuonyesha kuwa tunafurahia pendeleo ya kuwa mu familia ya Yehova? (Efe. 4:3)
2. Namna gani tunaweza kufanya wengine wajisikie muzuri, na juu ya nini tunapaswa kufanya vile? (Ro. 15:7)
3. Tunaweza kufanya nini juu ya kusaidia watu wengi zaidi wakuwe mu familia ya Yehova? (Efe. 2:17; 6:15)
4. Tunaweza kufanya nini juu ya kusaidia kuendeleza amani? (Efe. 4:29; 5:1, 2; 6:13)
5. Tunaweza kufanya nini juu tupende zaidi familia yetu ya kiroho? (Efe. 1:15, 16)
© 2022 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-copgm23-ZS