Utafute Majibu ya hii Maulizo
1. Namna gani tunaweza kuingia mu pumuziko ya Mungu? (Mwa. 2:1-3; Ebr. 4:1, 11)
2. Namna gani “Neno la Mungu” linaweza kuwa na nguvu mu maisha yetu? (1 Te. 2:13; Ebr. 4:12)
3. Juu ya nini tuendelee kutumainia muongozo wa Yehova? (Isa. 26:7-9, 15, 20)
4. Tunapaswa kufanya nini juu Yehova atubariki? (1 Pe. 1:13-15; 1 Yo. 5:3)
5. Namna gani tunaweza kufurahisha moyo wa Yehova? (Zb. 71:14, 15; Ro. 12:2; 1 Pe. 4:10)
6. Namna gani tunaweza kupata furaha wakati tunamutumikia Yehova? (Yoh. 5:17)
© 2023 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-brpgm24-ZS