Anza Kusoma Biblia
Unaweza kufurahia kusoma Biblia! Hapa kuko mawazo fulani yenye inaweza kukusaidia. Chagula habari yenye unafurahia, na usome maandiko yenye inaonyeshwa.
Habari za Watu Wenye Kujulikana Sana
-
Noa na Garika: Mwanzo 6:9–9:19
-
Musa ku Bahari Nyekundu: Kutoka 13:17–14:31
-
Rutu na Naomi: Rutu sura ya 1-4
-
Daudi na Goliati: 1 Samweli sura ya 17
-
Abigaili: 1 Samweli 25:2-35
-
Danieli mu shimo ya simba: Danieli sura ya 6
-
Elizabeti na Maria: Luka sura ya 1-2
Mashauri ya Kutusaidia mu Maisha ya Kila Siku
-
Maisha ya familia: Waefeso 5:28, 29, 33; 6:1-4
-
Urafiki: Mezali 13:20; 17:17; 27:17
-
Sala: Zaburi 55:22; 62:8; 1 Yohana 5:14
-
Mahubiri ku Mulima: Matayo sura ya 5-7
Wakati Uko na Lazima ya Musaada . . .
-
Juu unavunjika moyo: Zaburi 23; Isaya 41:10
-
Juu uko na huzuni: 2 Wakorinto 1:3, 4; 1 Petro 5:7
-
Juu uko najihukumu: Zaburi 86:5; Ezekieli 18:21, 22
Mambo Yenye Biblia Inasema Juu ya . . .
-
Siku za mwisho: Matayo 24:3-14; 2 Timoteo 3:1-5
-
Maisha yenye tuko nangoya: Zaburi 37:10, 11, 29; Ufunuo 21:3, 4
JAMBO YA KUKUSAIDIA: Juu uelewe mistari yenye inaonyeshwa pale juu, soma sura yote. Tumia muchoro “Sura za Biblia Zenye Nilishasoma” yenye iko ku mwisho wa hii kitabu juu ya kutia alama kila sura yenye ulishasoma. Upange kusoma sehemu fulani ya Biblia kila siku.