Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Maulizo ya Kujikumbusha ya Sehemu ya 1

Maulizo ya Kujikumbusha ya Sehemu ya 1

Uzungumuzie hii maulizo na mwalimu wako:

  1. Biblia inasema kama mambo ya muzuri itafanyika mu siku zenye ziko nakuya. Ni ya wapi njo inakufurahisha sana?

    (Ona Somo ya 02.)

  2. Juu ya nini unaamini kama Biblia ni Neno ya Mungu?

    (Ona Somo ya 03 na 05.)

  3. Juu ya nini ni muzuri ukuwe unatumia jina ya Mungu?

    (Ona Somo ya 04.)

  4. Biblia inasema kama Mungu ‘aliumba vitu vyote.’ (Ufunuo 4:11) Unaamini vile?

    (Ona Somo ya 06.)

  5. Musome Mezali 3:32.

    • Juu ya nini Yehova njo Rafiki muzuri sana?

    • Yehova anapenda marafiki wake wafanye nini? Unawaza mambo yenye anatuomba iko nguvu sana?

      (Ona Somo ya 07 na 08.)

  6. Musome Zaburi 62:8.

    • Ulishakasali kwa Yehova juu ya mambo gani? Unaweza kusali juu ya mambo gani ingine?

    • Yehova anajibiaka sala namna gani?

      (Ona Somo ya 09.)

  7. Musome Waebrania 10:24, 25.

    • Utapata faida gani kama unaenda ku mikutano ya Mashahidi wa Yehova?

    • Unaona kama ni lazima kabisa ujikaze kufika ku mikutano?

      (Ona Somo ya 10.)

  8. Juu ya nini ni muzuri ukuwe unasoma Biblia kila siku? Saa gani njo unasomaka Biblia kila siku?

    (Ona Somo ya 11.)

  9. Mupaka hapa, nini njo ulifurahia wakati tulikuwa najifunza?

  10. Tangu uanze kujifunza Biblia, kuko magumu yenye umepata? Nini njo inaweza kukusaidia uendelee kujifunza Biblia?

    (Ona Somo ya 12.)