Ona video zinazopatikana

EPIZODE YA 1

Mwangaza wa Kweli wa Dunia

Mwangaza wa Kweli wa Dunia

Ku mwanzo Neno alikuwa pamoya na Mungu na alikuwa mungu (gnj 1 00:00–00:43)

Mungu alitumia Neno juu ya kuumba bitu bingine byote (gnj 1 00:44–01:00)

Kupitia Neno, uzima na mwangaza vilifanywa (gnj 1 01:01–02:11)

Giza haikushinda mwangaza (gnj 1 02:12–03:59)

Luka anafasiria hali na sababu zenye zilifanya amuandikie Teofilo ile habari (gnj 1 04:13–06:02)

Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yohana Mubatizaji (gnj 1 06:04–13:53)

Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yesu (gnj 1 13:52–18:26)

Maria anatembelea Elizabeti, mutu wa jamaa yake (gnj 1 18:27–21:15)

Maria anamutukuza Yehova (gnj 1 21:14–24:00)

Yohana anazaliwa na banamupatia jina (gnj 1 24:01–27:13)

Unabii wa Zekaria (gnj 1 27:15–30:56)

Maria anapata mimba kupitia roho takatifu; namna Yosefu anatenda (gnj 1 30:58–35:29)

Yosefu na Maria banasafiri kuenda Betlehemu; Yesu anazaliwa (gnj 1 35:30–39:53)

Bamalaika banatokea bachungaji mu shamba (gnj 1 39:54–41:40)

Bachungaji banaenda ku chombo ya kulishia banyama (gnj 1 41:41–43:53)

Yesu anaonyeshwa mbele ya Yehova ku hekalu (gnj 1 43:56–45:02)

Simeoni anapata pendeleo ya kuona Kristo (gnj 1 45:04–48:50)

Ana anazungumuza juu ya ule mutoto (gnj 1 48:52–50:21)

Safari ya batu benye elimu ya nyota na mupango mubaya sana wa Herode (gnj 1 50:25–55:52)

Yosefu anakamata Maria na Yesu na banakimbia Misri (gnj 1 55:49–57:34)

Herode anauwa batoto banaume mu Betlehemu na mu wilaya zake zote (gnj 1 57:35–59:32)

Familia ya Yesu inaikala Nazareti (gnj 1 59:34–1:03:55)

Yesu iko na miaka kumi na mbili (12) na iko ku hekalu (gnj 1 1:04:00–1:09:40)

Yesu anarudia Nazareti pamoya na bazazi yake (gnj 1 1:09:41–1:10:27)

Mwangaza wa kweli ulikuwa karibu kuya katika ulimwengu (gnj 1 1:10:28–1:10:55)