Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Utangulizi na Mambo Yenye Kuwa Ndani

Utangulizi na Mambo Yenye Kuwa Ndani

Mambo yenye Yesu alifundisha ku mulima karibu na Kapernaumu, muji wenye ulikuwa pembeni ya bahari ya Galilaya, ni kati ya mafundisho yake yenye kujulikana sana. Watu wengi wanaitaka ile mafundisho Mahubiri ya Yesu Kwenye Mulima, iko mu sura ya 5 mupaka 7 ya kitabu ya Matayo. Mu hii broshua, ile mafundisho inapangwa mu namna yenye itakusaidia ufaidike na hekima ya Yesu.

  • SURA YA 5

    • Yesu anaanza kufundisha kwenye mulima (1, 2)

    • Mambo kenda yenye kuleta furaha (3-12)

    • Chumvi na mwangaza (13-16)

    • Yesu alikuja kutimiza Sheria 17-20)

    • Mashauri juu ya kasirani (21-26), uzinifu (27-30), kuvunja ndoa (31, 32), viapo (33-37), kulipiza kisasi (38-42), kupenda maadui (43-48)

  • SURA YA 6

    • Muepuke kujionyesha kuwa wenye haki (1-4)

    • Namna ya kusali (5-15)

      • Sala ya mufano (9-13)

    • Kufunga (16-18)

    • Hazina duniani na mbinguni (19-24)

    • Muache kuhangaika (25-34)

      • Muendelee kutafuta kwanza Ufalme (33)

  • SURA YA 7

    • Muache kuhukumu (1-6)

    • Muendelee kuomba, kutafuta, kupiga hodi (7-11)

    • Kanuni ya Muzuri Zaidi (12)

    • Mulango mwembamba (13, 14)

    • Mutawatambua kwa matunda yao (15-23)

    • Nyumba yenye kujengwa juu ya mwamba, nyumba yenye kujengwa juu ya muchanga (24-27)

    • Watu wengi wanashangazwa na mafundisho ya Yesu (28, 29)