Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA TANO

“Nitakaa Kati ya Watu”​—Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa

“Nitakaa Kati ya Watu”​—Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa

EZEKIELI 43:7

WAZO KUBWA: Sehemu za maana za hekalu lenye lilionwa mu maono na somo zenye zile sehemu zinatupatia kuhusu ibada safi

Yehova alipatia nabii Ezekieli na mutume Yohana maono yenye inafanana mu njia ya kushangaza. Mambo ya maana ya ile maono inatupatia somo za maana zenye zinatusaidia kumuabudu Yehova mu njia yenye anakubali sasa na zenye zinatupatia picha kidogo ya namna maisha itakuwa mu Paradiso chini ya Ufalme wa Mungu.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 19

“Kila Kitu Kitaishi Mahali Kwenye Muto Huo Mudogo Unapita”

Namna gani maono ya Ezekieli ya muto wenye kutiririka kutoka mu hekalu ilitimia wakati wa zamani, namna gani inatimia leo, na namna gani itatimia mu wakati wenye kuja?

SURA YA 20

“Mutagawanya Inchi Kuwa Uriti”

Mu maono, Mungu anaambia Ezekieli na wahamishwa wenzake wagawanye Inchi ya Ahadi mu makabila ya Israeli.

SURA YA 21

“Jina la Muji Huo . . . Litakuwa, Yehova Iko Pale”

Ni somo gani tunapata mu maono ya Ezekieli kuhusu muji na maana ya jina la ile muji?

SURA YA 22

“Abudu Mungu”

Kitabu hiki kimetayarishwa juu ya kutusaidia tuazimie kabisa kumuabudu Yehova Mungu peke yake.