Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA INE

“Nitatetea kwa Bidii Jina Langu Takatifu”​—Ibada Safi Inashambuliwa, Lakini Inaokoka

“Nitatetea kwa Bidii Jina Langu Takatifu”​—Ibada Safi Inashambuliwa, Lakini Inaokoka

EZEKIELI 39:25

WAZO KUBWA: Yehova analinda watu wake wakati wa taabu kubwa

Yehova anatupenda, lakini atatuomba tutoe hesabu juu ya matendo yetu. Anajisikiaka je kuhusu wale wenye wanasema kama wanamuabudu lakini matendo yao haionyeshe vile? Ataangalia nini juu ya kuamua kama mutu fulani anastahili kuokoka taabu kubwa? Na juu ya nini Yehova, Mungu wa upendo, ataharibu mamilioni ya watu waovu?

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 15

“Nitakomesha Ukahaba Wako”

Maelezo kuhusu makahaba mu Ezekieli na Ufunuo inaweza kutufundisha nini?

SURA YA 16

“Utie Alama Kwenye Mapaji ya Nyuso”

Namna watu waaminifu walitiwa alama ya wokovu mu siku za Ezekieli iko na maana kwetu.

SURA YA 17

“Nitapigana na Wewe, Ee Gogu”

Gogu wa Magogu ni nani, na inchi yenye anashambulia ni nini?

SURA YA 18

“Kasirani Yangu Kali Itawaka”

Shambulizi la Gogu litalamusha kasirani ya Yehova, na ile itamuchochea Yehova apiganie watu wake.