SEHEMU YA KWANZA
“Mbingu Zilifunguka”
WAZO KUBWA: Picha ya makao ya Yehova
Hakuna mwanadamu mwenye anaweza kumuona Yehova, Mungu Mweza-Yote, na kuishi. (Kut. 33:20) Lakini Yehova alipatia Ezekieli maono yenye inaonyesha sehemu ya mbinguni ya tengenezo Lake—ile maono inatushangaza sana lakini pia inatusaidia tusamini sana pendeleo lenye tuko nalo la kumuabudu Mungu mumoja tu wa kweli.
KATIKA SEHEMU HII
SURA YA 3
“Nilianza Kuona Maono ya Mungu”
Maono ya kwanza ya Ezekieli ilimuacha akiwa amelemewa kabisa. Mambo yenye aliona inaweza kufundisha mambo mingi watumishi waaminifu wa Mungu leo.
SURA YA 4
“Viumbe Vyenye Uzima Vyenye Viko na Nyuso Ine” Ni Nani?
Yehova alipatia Ezekieli maono ya kutusaidia kuelewa mambo yenye hatungeweza kuelewa mu njia ingine.