Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA KWANZA

“Mbingu Zilifunguka”

“Mbingu Zilifunguka”

EZEKIELI 1:1

WAZO KUBWA: Picha ya makao ya Yehova

Hakuna mwanadamu mwenye anaweza kumuona Yehova, Mungu Mweza-Yote, na kuishi. (Kut. 33:20) Lakini Yehova alipatia Ezekieli maono yenye inaonyesha sehemu ya mbinguni ya tengenezo Lake​—ile maono inatushangaza sana lakini pia inatusaidia tusamini sana pendeleo lenye tuko nalo la kumuabudu Mungu mumoja tu wa kweli.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 3

“Nilianza Kuona Maono ya Mungu”

Maono ya kwanza ya Ezekieli ilimuacha akiwa amelemewa kabisa. Mambo yenye aliona inaweza kufundisha mambo mingi watumishi waaminifu wa Mungu leo.

SURA YA 4

“Viumbe Vyenye Uzima Vyenye Viko na Nyuso Ine” Ni Nani?

Yehova alipatia Ezekieli maono ya kutusaidia kuelewa mambo yenye hatungeweza kuelewa mu njia ingine.