Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 12A

Kuunganishwa kwa Vipande Mbili vya Muti

Kuunganishwa kwa Vipande Mbili vya Muti

Yehova aliomba Ezekieli aandike juu ya kipande kimoja cha muti “kwa ajili ya Yuda” na juu ya kingine “kwa ajili ya Yosefu, kipande cha muti cha Efraimu.”

“kwa ajili ya Yuda”

WAKATI WA ZAMANI

Ufalme wa makabila mbili ya Yuda

WAKATI WETU

Watiwa-mafuta

“kwa ajili ya Yosefu, kipande cha muti cha Efraimu”

WAKATI WA ZAMANI

Ufalme wa makabila kumi ya Israeli

WAKATI WETU

Kondoo wengine

“vikuwe kipande kimoja tu cha muti katika mukono wako”

WAKATI WA ZAMANI

537 M.K.Y. Waabudu wa kweli wanarudia kutoka kati ya mataifa, wanajenga upya Yerusalemu, na kufanya ibada wakiwa taifa moja.

WAKATI WETU

Tangu 1919, watu wa Mungu wanapangwa muzuri hatua kwa hatua na wanaunganishwa juu watumike wakiwa “kundi moja.”