KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 7A
Mataifa Yenye Kuzunguka Yerusalemu
650 hivi-300 M.K.Y.
MUCHORO WA MATUKIO (MIAKA YOTE M.K.Y.)
-
620: Babiloni inaanza kutawala Yerusalemu
Nebukadneza anafanya mufalme wa Yerusalemu kuwa mutawala mudogo
-
617: Babiloni inachukua watekwa wa kwanza kutoka Yerusalemu
Watawala, wapiganaji-vita wenye nguvu, na mafundi wanapelekwa Babiloni
-
607: Babiloni inaharibu Yerusalemu
Muji na hekalu lake vinateketezwa
-
Kisha 607: Tiro, yenye ilikuwa ku inchi kavu
Nebukadneza anashambulia Tiro mu miaka 13. Anashinda Tiro yenye ilikuwa ku inchi kavu, lakini muji wenye ulikuwa kisiwa unabakia
-
602: Amoni na Moabu
Nebukadneza anavamia Amoni na Moabu
-
588: Babiloni inashinda Misri
Mwaka wa 37 wa utawala wake, Nebukadneza anashambulia Misri
-
332: Tiro, muji wenye ulikuwa kisiwa
Jeshi la Ugiriki, lenye kuongozwa na Aleksanda Mukubwa, linaharibu muji wa Tiro wenye ulikuwa kisiwa
-
332 ao mbele ya pale: Ufilisti
Aleksanda anashinda Gaza, muji mukubwa wa Wafilisti
Fasi Kwenye Inapitikana ku Karte
-
UGIRIKI
-
BAHARI KUBWA
-
(BAHARI YA MEDITERANIA)
-
TIRO
-
Sidoni
-
Tiro
-
Samaria
-
Yerusalemu
-
Gaza
-
UFILISTI
-
MISRI
-
BABILONI
-
AMONI
-
MOABU
-
EDOMU