KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9D
Maunabii Kuhusu Utekwa na Kurudishwa kwa Ibada Safi
Maunabii mingi kuhusu utekwa wa Wayahudi mu Babiloni ya zamani ilikuwa na utimizo wa pili, utimizo mukubwa zaidi wakati kutaniko la Kikristo lilikuwa mu utekwa wa Babiloni Mukubwa. Ona mifano fulani.
1. MAONYO |
2. UTEKWA |
3. KURUDISHWA KWA IBADA SAFI |
|
---|---|---|---|
UTIMIZO WA KWANZA |
Mbele ya 607 M.K.Y.—Isaya, Yeremia, na Ezekieli wanaonya watu wa Yehova; lakini, uasi-imani unaongezeka |
607 M.K.Y.—Yerusalemu inaharibiwa; watu wa Mungu wanapelekwa mu utekwa Babiloni |
537 M.K.Y. na kuendelea—Mabaki waaminifu wanarudia Yerusalemu, wanajenga upya hekalu, na wanarudilia ibada safi |
UTIMIZO MUKUBWA ZAIDI |
Karne ya Kwanza (1-100) K.K.Y.—Yesu, Paulo, na Yohana wanaonya kutaniko, lakini uasi-imani unaongezeka |
Kuanzia Karne ya Pili (101-200) K.K.Y.—Wakristo wa kweli wanapelekwa mu utekwa mu Babiloni Mukubwa |
1919 K.K.Y. na kuendelea—Chini ya utawala wa Yesu, watiwa-mafuta waaminifu waliona mwisho wa uhamisho wao wa kiroho na kurudishwa kwa ibada safi |