Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9D

Maunabii Kuhusu Utekwa na Kurudishwa kwa Ibada Safi

Maunabii Kuhusu Utekwa na Kurudishwa kwa Ibada Safi

Maunabii mingi kuhusu utekwa wa Wayahudi mu Babiloni ya zamani ilikuwa na utimizo wa pili, utimizo mukubwa zaidi wakati kutaniko la Kikristo lilikuwa mu utekwa wa Babiloni Mukubwa. Ona mifano fulani.

1. MAONYO

2. UTEKWA

3. KURUDISHWA KWA IBADA SAFI

UTIMIZO WA KWANZA

Mbele ya 607 M.K.Y.​—Isaya, Yeremia, na Ezekieli wanaonya watu wa Yehova; lakini, uasi-imani unaongezeka

607 M.K.Y.​—Yerusalemu inaharibiwa; watu wa Mungu wanapelekwa mu utekwa Babiloni

537 M.K.Y. na kuendelea​—Mabaki waaminifu wanarudia Yerusalemu, wanajenga upya hekalu, na wanarudilia ibada safi

UTIMIZO MUKUBWA ZAIDI

Karne ya Kwanza (1-100) K.K.Y.​—Yesu, Paulo, na Yohana wanaonya kutaniko, lakini uasi-imani unaongezeka

Kuanzia Karne ya Pili (101-200) K.K.Y.​—Wakristo wa kweli wanapelekwa mu utekwa mu Babiloni Mukubwa

1919 K.K.Y. na kuendelea​—Chini ya utawala wa Yesu, watiwa-mafuta waaminifu waliona mwisho wa uhamisho wao wa kiroho na kurudishwa kwa ibada safi