KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 8B
Maunabii Tatu Juu ya Masiya
1. “Ule Mwenye Kuwa na Haki ya Kisheria” (Ezekieli 21:25-27)
NYAKATI ZA MATAIFA (607 M.K.Y.–1914 K.K.Y.)
-
607 M.K.Y.—Sedekia anatoshwa ku kiti cha ufalme
-
1914 K.K.Y.—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji
Ezekieli 34:22-24)
2. “Mutumishi Wangu . . . Atawakulisha Yeye Mwenyewe na Kuwa Muchungaji Wao” (SIKU ZA MWISHO (1919 K.K.Y.–KISHA ARMAGEDONI)
-
1914 K.K.Y.—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji
-
1919 K.K.Y.—Mutumwa muaminifu na mwenye busara anawekwa juu ya kuchunga kondoo wa Mungu
Watiwa-mafuta waaminifu wanakusanywa pamoja chini ya uongozi wa Masiya-Mufalme; kisha wanaunganishwa na kundi kubwa la watu
-
KISHA ARMAGEDONI—Baraka za utawala wa ule Mufalme zitadumu milele
3. “Mufalme Mumoja Atawatawala Wote” Milele (Ezekieli 37:22, 24-28)
SIKU ZA MWISHO (1919 K.K.Y.–KISHA ARMAGEDONI)
-
1914 K.K.Y.—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji
-
1919 K.K.Y.—Mutumwa muaminifu na mwenye busara anawekwa juu ya kuchunga kondoo wa Mungu
Watiwa-mafuta waaminifu wanakusanywa pamoja chini ya uongozi wa Masiya-Mufalme; kisha wanaunganishwa na kundi kubwa la watu
-
KISHA ARMAGEDONI—Baraka za utawala wa ule Mufalme zitadumu milele