Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 8A

Unabii Juu ya Masiya​—Muti Mukubwa wa Mwerezi

Unabii Juu ya Masiya​—Muti Mukubwa wa Mwerezi

EZEKIELI 17:3-24

  • 1. Nebukadneza anapeleka Yehoyakini Babiloni

  • 2. Nebukadneza anaweka Sedekia ku kiti cha ufalme mu Yerusalemu

  • 3. Sedekia anamuasi Yehova na anatafuta musaada wa kijeshi kule Misri

  • 4. Yehova anaweka Mwana wake ku Mulima Sayuni wa mbinguni

  • 5. Chini ya kivuli cha Ufalme wa Yesu, wanadamu watiifu wataishi kwa usalama