Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9E

“Wakati wa Kurudishwa kwa Mambo Yote”

“Wakati wa Kurudishwa kwa Mambo Yote”

MATENDO 3:21

Wakati mutume Petro alitaja “wakati wa kurudishwa kwa mambo yote,” alikuwa anazungumuza mu njia ya unabii kuhusu kipindi kizuri sana chenye kingeanza wakati Yesu angewekwa kuwa Mufalme na chenye kingeendelea mupaka mwisho wa Utawala wa Miaka Elfu.

  1. 1914​—Yesu Kristo anawekwa kuwa Mufalme mbinguni. Watu wa Mungu wanaanza kurudishwa mu hali ya muzuri ya kiroho mu mwaka wa 1919

    Siku za Mwisho

  2. ARMAGEDONI​—Utawala wa Miaka Elfu wa Kristo unaanza, na “wakati wa kurudishwa kwa mambo yote” unapanuka na unaletea wanadamu waaminifu wenye kuwa mu dunia baraka za kimwili

    Utawala wa Miaka Elfu

  3. MWISHO WA UTAWALA WA MIAKA ELFU​—Yesu anamaliza kazi ya kurudisha mambo yote mu hali ya muzuri na anamurudishia Baba yake Ufalme

    Paradiso ya Milele

UTAWALA WA YESU . . .

  • utarudishia jina la Mungu utukufu

  • utarudishia wagonjwa afya ya muzuri

  • utarudishia wazee ujana

  • utarudishia wafu uzima

  • utarudishia wanadamu waaminifu ukamilifu

  • utarudisha Paradiso juu ya dunia