KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 11A
Walinzi Fulani Wenye Ni Mufano Muzuri
Walinzi wenye kutajwa hapa chini walipata upinzani, lakini walibakia waaminifu, na walitangaza maonyo na habari njema.
ISRAELI YA ZAMANI
-
Isaya 778–732 hivi M.K.Y.
-
Yeremia 647-580 M.K.Y.
-
Ezekieli 613–591 hivi M.K.Y.
KARNE YA KWANZA
-
Yohana Mubatizaji 29-32 K.K.Y.
-
Yesu 29-33 K.K.Y.
-
Paulo 34 hivi–65 hivi K.K.Y.
WAKATI WETU
-
C. T. Russell na Wenzake 1879 hivi-1919
-
Mutumwa Muaminifu 1919–Leo