Siku ya Yenga
‘Yule Ambaye Atavumilia Mupaka Mwisho Ndiye Atakayeokolewa’—MATHAYO 24:13
ASUBUHI
-
3:20 (9:20) Video ya Muziki
-
3:30 (9:30) Wimbo Na. 83 na Sala
-
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU MUNANE: Tunapaswa ‘Kukimbia kwa Uvumilivu’
-
Kimbia na Kusudi la Kupata Ushindi (1 Wakorintho 9:24)
-
Ujizoeze kwa Bidii! (1 Wakorintho 9:25-27)
-
Achana na Mizigo Yenye Haiko ya Lazima (Waebrania 12:1)
-
Uige Mifano ya Muzuri (Waebrania 12:2, 3)
-
Tumia Chakula Chenye Kujenga (Waebrania 5:12-14)
-
Kunywa Maji Mengi (Ufunuo 22:17)
-
Kimbia kwa Kutii Sheria (2 Timotheo 2:5)
-
Ukuwe na Imani Kama Utapata Zawadi (Waroma 15:13)
-
-
5:10 (11:10) Wimbo Na. 130 na Matangazo
-
5:20 (11:20) HOTUBA YA WATU WOTE: Usipoteze Tumaini Hata Kidogo! (Isaya 48:17; Yeremia 29:11)
-
5:50 (11:50) Kifupi cha Munara wa Mulinzi
-
6:20 (12:20) Wimbo Na. 148 na Mapumuziko
KISHA MIDI
-
7:35 (13:35) Video ya Muziki
-
7:45 (13:45) Wimbo Na. 142
-
7:50 (13:50) MUCHEZO WENYE KUTEGEMEA BIBLIA: Mukumbuke Bibi ya Loti—Sehemu ya 3 (Luka 17:28-33)
-
8:20 (14:20) Wimbo Na. 65 na Matangazo
-
8:30 (14:30) ‘Endelea Kungojea . . . Haitachelewa!’ (Habakuki 2:3)
-
9:30 (15:30) Wimbo Na. 154 na Sala ya Mwisho