Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Andika Majibu ya Maulizo Haya

Andika Majibu ya Maulizo Haya
  1. “Sheria ya Kristo” ni nini? (Gal. 6:2)

  2. Namna gani tunaweza kutimiza sheria ya Kristo wakati watu hawatuone? (1 Kor. 10:31)

  3. Namna gani tunatimiza sheria ya Kristo katika mahubiri? (Lu. 16:10; Mt. 22:39; Mdo. 20:35)

  4. Ni nini inafanya sheria ya Kristo ikuwe ya muzuri zaidi kuliko Sheria ya Musa? (1 Pet. 2:16)

  5. Namna gani bibi na bwana na wazazi wanaweza kutimiza sheria ya Kristo katika familia yao? (Efe. 5:22, 23, 25; Ebr. 5:13, 14)

  6. Namna gani munaweza kutimiza sheria ya Kristo kwenye masomo? (Zab. 1:1-3; Yoh. 17:14)

  7. Namna gani tunaweza kupenda wengine kama vile Yesu alitupenda? (Gal. 6:1-5, 10)