Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Andika Majibu ya Maulizo Haya

Andika Majibu ya Maulizo Haya
  1. Sababu gani ni vigumu kufanya mema? (1 Pet. 5:8; Rom. 7:21-25; 12:2)

  2. Kupanda kwa mwili kunamaanisha nini, na namna gani tunaweza kuepuka kupanda kwa mwili? (Gal. 6:8)

  3. Ni nani tunapaswa ‘kutendea mema’? (Gal. 6:10)

  4. Namna gani tunaweza kupanda kwa roho? (Gal. 6:8)

  5. Ni nini tutavuna kama hatuchoke kabisa? (Gal. 6:9)