Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Andika Majibu ya Maulizo Hii

Andika Majibu ya Maulizo Hii
  1. Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunamupenda Mungu? (Kum. 13:3, 4; 1 Yo. 5:3)

  2. Juu ya nini tunapaswa kupenda ndugu na dada zetu? (1 Yo. 4:11, 20, 21)

  3. Namna gani unaweza kuonyesha kama unapenda mwenzako? (Law. 19:18; Efe. 5:29)

  4. Namna gani tunaweza kuiga upendo wa Yehova? (1 Pe. 4:8; Kol. 3:13)

  5. Ni nini itatusaidia tuweze kumusifu Yehova? (Zb. 104:33; 146:2, 5)

  6. Kumupenda Yehova kwa moyo wetu wote maana yake nini? (Kut. 34:14; Amo. 5:15; Ro. 12:11)