Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Andika Majibu ya Maulizo Hii

Andika Majibu ya Maulizo Hii
  1. 1. Ni mambo gani tatu yenye Yehova ametutolea yenye inatuletea shangwe? (Zb. 32:1-10)

  2. 2. Ni nini tunaweza kufanya ili tupate shangwe leo? (Zb. 5:11, 12; 91:14)

  3. 3. Namna gani tunaweza kuendelea kuwa na furaha mu kazi ya kuhubiri hata kama tunapambana na magumu? (Mdo. 13:50-52; Ro. 5:3-5)

  4. 4. Tunapaswa kufanya nini ili ‘tusilemewe’ na kupoteza furaha yetu? (Lu. 21:34)

  5. 5. Namna gani Yehova anafanya tukuwe na furaha? (Zb. 92:4, 5)

  6. 6. Tunaweza kufanya nini ili tuendelee kumuweka Yehova mbele yetu kila wakati? (Ro. 1:20; Kum. 6:6-9; Flp. 4:6; Zb. 16:3)