Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Andika Majibu ya Maulizo Haya

Andika Majibu ya Maulizo Haya
  1. Sababu gani tusikuwe na mashaka wakati tunamuomba Yehova moyo wenye hauna woga? (Zb. 138:3)

  2. Namna gani tunaweza kuwa bila woga kama watumishi waaminifu wa Mungu wa zamani? (Mdo. 4:31)

  3. Namna gani tunaweza kuwa bila woga katika mahubiri? (1 Te. 2:2)

  4. Ni nini inatusaidia kutenda bila woga wakati tunapambana na mikazo? (1 Pe. 2:21-23)

  5. Sisi Wakristo tukiendelea kuwa bila woga tutapata zawabu gani? (Ebr. 10:35)