Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Andika Majibu ya Maulizo Hii

Andika Majibu ya Maulizo Hii
  1. Juu ya nini upendo ni wa maana sana kupita ujuzi? (1 Ko. 8:1)

  2. Namna gani tunaweza kujenga ndugu na dada katika kutaniko kama vile watumishi wa Mungu walifanya zamani? (Ro. 13:8)

  3. Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunapenda na kuhangaikia watu katika mahubiri? (1 Te. 2:7, 8)

  4. Tunaweza kufanya nini ili familia yetu ya Kikristo katika dunia yote ifikie ukomavu? (Efe. 4:1-3, 11-16; 1 Te. 5:11)

  5. Namna gani mambo yote yenye tunafanya inaweza kufanywa kwa upendo? (1 Ko. 16:14)