Andika Majibu ya Maulizo Hii
Juu ya nini upendo ni wa maana sana kupita ujuzi? (1 Ko. 8:1)
Namna gani tunaweza kujenga ndugu na dada katika kutaniko kama vile watumishi wa Mungu walifanya zamani? (Ro. 13:8)
Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunapenda na kuhangaikia watu katika mahubiri? (1 Te. 2:7, 8)
Tunaweza kufanya nini ili familia yetu ya Kikristo katika dunia yote ifikie ukomavu? (Efe. 4:1-3, 11-16; 1 Te. 5:11)
Namna gani mambo yote yenye tunafanya inaweza kufanywa kwa upendo? (1 Ko. 16:14)