Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Andika Majibu ya Maulizo Hii

Andika Majibu ya Maulizo Hii
  1. 1. Sisi watumishi wa Yehova, tuko na pendeleo gani? (Mez. 27:11)

  2. 2. Namna gani tunaweza kumuiga Yesu na kufurahisha moyo wa Yehova? (Yoh. 8:29)

  3. 3. Tunaweza kufanya nini ili kufurahisha moyo wa Yehova mu kazi ya kuhubiri? (Yoh. 15:8)

  4. 4. Tunaweza kufanya nini ili kumufurahisha Yehova sikuzote mu maisha yetu? (Yoh. 14:31; Efe. 6:1-4; Zb. 35:18; 1 Pe. 2:12)

  5. 5. Nini njo inaweza kutusaidia tuweze kupambana na magumu, hali ya kuvunjika moyo, na majaribu? (Ne. 8:10)